Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Tuwaonee huruma wananchi wanao tumia usafiri unajulikana kama mwendokasi.
1. Mabasi hayana muda rasmi
2. Unaweza kaa kituoni hadi masaa 2
3. Basi likipita limejaa kiasi kwamba hata kutoka tuu kwenye basi inabidi uwe umeshiba.
4. Huduma kwa wateja haipo.. hata namba zikuhizi haipo.
5. Dereva anaweza pitiliza kituo kwa sababu zake tuu zisizo na mashiko
Hivi vitu vya kizungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Mabasi hayana muda rasmi
2. Unaweza kaa kituoni hadi masaa 2
3. Basi likipita limejaa kiasi kwamba hata kutoka tuu kwenye basi inabidi uwe umeshiba.
4. Huduma kwa wateja haipo.. hata namba zikuhizi haipo.
5. Dereva anaweza pitiliza kituo kwa sababu zake tuu zisizo na mashiko
Hivi vitu vya kizungu.
Sent using Jamii Forums mobile app