Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi

Jibu hoja yangu kabla, inakuwaje unajadili mambo usigo yajua na kujidai unajua ? Hili swali ulitakiwa uulize pale tu nilipo anza na jambo hili. Lakini hauko makini kijana, jambo hili nililiashiria
Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
 
Mungu ameumba free wills kwa Mwanadamu!!,,,lkn akampa Sheria zake kuwa aishi ivi, hutaki atakuadhibu! nakuwa mwanadamu amuabudu tu baasi!! ndo alivo taka! hakuna kuhoji!.... Mfano Mama/Baba yako lazima umuheshimu!!...ufanye anayo taka!!

lkn pia una uhuru wa kuto muheshimu!!...na usipo muheshimu Mzazi wako kuna adhabu utaipata maarufu hapo Bongo!! hii inaitwa Laana!...km huijui jaribu tu!

yaani hata unaweza kumtukana, kumpiga,kumfanya hata kijakazi wako....kumfungia nje, hata kumpiga mpaka uka muua,,,,lkn nikuulize tu....Matokeo yake ni Mazuriii??......hata Mtu mpita njia ! anae lingana Umri na Baba yako utamheshimu sana!!

Kama utafanya Mabaya kwa Wazazi wako Duniani humu iko shida km hutaoa!! wala kuolewa!! ajabu sasa waolewaji nani aliwaambia kuwa ulifanyia wazazi wako hayooo hadi wakukatae???!....hata km utaoa ukazaa kwa kujibana saaana....kipigo watakacho kupa hao wanao, siyo cha Dunia hii!!

Uzuri ni kwamba unaweza ukajaribu tu!! uone matokeo.... mwishoni hii itakuonyesha kuwa Mungu yupo!...hao wazazi ndo miungu wako wa kwanza kabisa Duniani!.....Kinyume chake wapende uwaheshimu!! uone utakavyo tusua..kmau zaidi ya Diamond!

Jiwe alidharau Machozi ya Mamake mwandishi Kabendera tena yule mama akalia kuwa mwanae ndo nguzo!! uhai wake unamtegemea mpaka yule Mama kafa.......haya Jiwe yuko wapi leo???.... Na kabendera alimpenda na kumuheshimu Mama yake fika!!

Leo kabendera anatusua majuu!! kuku kwa Mrija na Mbinguni ataenda!! je Jiwe wako yuko wapi?? kwanza hata hakupata mda wa kutubu! Na Jiwe alikuwa mdogo sana kwa yule Mama! lkn jiwe halikumheshimu wala kusikiliza ! sababu ya kiburi cha uzima eti Rais!

Na jiwe kafa kwa ugonjwa uleule ulio muua yule Mama!! pamoja na kulindwa juu na chini, pamoja na Madaktrai wooote kumtibia lkn hawakuona dawa!!...jiwe akadharaulika Duniani mara dufu....akaogopa hata kusafiri!! akafia humu!!

Kabendera ni Muandishi..
Hayo nishaelezea hapa

Post in thread 'Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi' Wanaopinga uwepo wa Mungu ni wakaidi
 
Baada ya hapo ulikimbia kwa mbinu yako ya kusema "poa"
Ukiona nimekujibu poa ni kwamba jambo nimelikosoa zaidi ya mara moja, na unarudia vile vile. Kwahiyo naona napoteza muda naachana na huu ndoyo utaratibu wangu.
 
Kwani post #125 iko mbele au nyuma?

Kama iko nyuma niambie ulijibu?

Kama hukuijibu kwanini tuanzie mbele wakati huku nyuma nako kuna vilaka uliviacha?
Post namba 121 iko mbele ya post 125 ? Sasa kaanzie kujibu maswali niliyo kuuliza kwenye post #121.
 
Hiyo #121 si ulikuwa ume quote post yangu ya #119?

Sasa post #119 si ilikuwa na maswali?

Au hujui huu mjadala nimeuanza mimi kwa kukuuliza swali ambalo ulilikimbia kwa mdau kwa kile ulichokidai kuwa mpaka ajibu maswali yako?
Soma post namba # 105. Kabla ya hapo ulikuja kumtetea mdau na kuonyesha mimi sijamuelewa, kuanzia gapo nikakuuliza maswali, post # 105. Swali gani ulijibu katika post namba 105...?
 
Ukiona nimekujibu poa ni kwamba jambo nimelikosoa zaidi ya mara moja, na unarudia vile vile. Kwahiyo naona napoteza muda naachana na huu ndoyo utaratibu wangu.
Sio umelikosoa bali hiyo ndio mbinu yako ya kukimbia hoja

Na hii hoja uliyoianzisha usiikimbie bila kuitolea majibu

Umeleta hoja wewe, wewe ndio mwenye jukumu la kuijibu tujue ulicho maanisha.

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
 
Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
Jibu maswali yangu kisha nijibu swali lako, sababu huwa siandiki jambo nisilo lijua.
 
Sio umelikosoa bali hiyo ndio mbinu yako ya kukimbia hoja

Na hii hoja uliyoianzisha usiikimbie bila kuitolea majibu

Umeleta hoja wewe, wewe ndio mwenye jukumu la kuijibu tujue ulicho maanisha.

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
Naona unanieletea utoto sasa.
 
Post namba 121 iko mbele ya post 125 ? Sasa kaanzie kujibu maswali niliyo kuuliza kwenye post #121.
Nani aliyeanza kumuuliza mwenzake maswali kwenye huu mjadala?
 
Naona unanieletea utoto sasa.
Utoto unauleta wewe kwa kuanzisha mada halafu unalazimisha mtu mwingine aliyekunukuu atolee ufafanuzi

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
 
Utoto unauleta wewe kwa kuanzisha mada halafu unalazimisha mtu mwingine aliyekunukuu atolee ufafanuzi

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
Shida uliye ninukuu ulileta ujuaji na ukosoaji kumbe jambo hulijui. Sasa sisi ujuaji hatuutaki na hatulei wajinga. Maana yake ulipaswa uulize kwanza siyo mambo yanakuwa magumu unahitaji msaada. Adabu za mjadala haziko hivi, kingine una umakini mdogo sana ishara juu ya mambo yaliyo nje ya uwezo wetu nilionyesha, maana yake kuuliza tena ni kutokuwa makini, yaani kunaonyesha hauko kimjadala bali kupotezea muda watu, ukiangalia maswali yako ya kitoto sana na unajibiwa zaidi ya mara moja unauliza tena swali kama hilo.
 
Post #77 imeulizwa na nani?
Post namba 77 umeidakia ukarudia swali la Kiranga ambalo nilishatoa ufafanuzi na kutoa muongozo. Kimjadala hili halizingatiwi ndiyo maana nikaenda kwenye post namba 105.

Sasa ili ujione hauko makini rejea mpaka kwenye post namba 65.
 
Shida uliye ninukuu ulileta ujuaji na ukosoaji kumbe jambo hulijui. Sasa sisi ujuaji hatuutaki na hatulei wajinga. Maana yake ulipaswa uulize kwanza siyo mambo yanakuwa magumu unahitaji msaada. Adabu za mjadala haziko hivi, kingine una umakini mdogo sana ishara juu ya mambo yaliyo nje ya uwezo wetu nilionyesha, maana yake kuuliza tena ni kutokuwa makini, yaani kunaonyesha hauko kimjadala bali kupotezea muda watu, ukiangalia maswali yako ya kitoto sana na unajibiwa zaidi ya mara moja unauliza tena swali kama hilo.
Sio niulize kwanza, mimi nimenukuu sijatoa tafsiri ya maana ya kile nilichokinukuu uwe unaelewa

Sasa unaponiambia nimejitia ujuaji hapo unadhihirisha kuwa humakiniki kwasababu hata nikikuambia unipe maana ambayo mimi niliitoa inayoonesha kupingana na kusudio lako huwezi

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
 
Post namba 77 umeidakia ukarudia swali la Kiranga ambalo nilishatoa ufafanuzi na kutoa muongozo. Kimjadala hili halizingatiwi ndiyo maana nikaenda kwenye post namba 105.

Sasa ili ujione hauko makini rejea mpaka kwenye post namba 65.
Hiyo habari ya kudakia unaijua wewe, mimi nimekuonesha kiini cha maswali yalipoanzia na kuwa mimi ndiye niliyekuwa wakwanza kukuuliza maswali

Halafu hiyo post #65 ulim quote nani?

Hili swali hujajibu na sitaki kulipotezea

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
 
Sio niulize kwanza, mimi nimenukuu sijatoa tafsiri ya maana ya kile nilichokinukuu uwe unaelewa

Sasa unaponiambia nimejitia ujuaji hapo unadhihirisha kuwa humakiniki kwasababu hata nikikuambia unipe maana ambayo mimi niliitoa inayoonesha kupingana na kusudio lako huwezi

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
Ulileta ujuaji na ukosoaji sasa nashangaa unaahindwa vipi kutetea hoja zako ?

Hili kwangu la kukwambia ni jambo rahisi sana, ila nakufunza adabu za mjadala. Yaani uache kudandia mambo usiyo yajua na ukajidai mjuaji.

Jibu maswal niliyo kuuliza.
 
Hiyo habari ya kudakia unaijua wewe, mimi nimekuonesha kiini cha maswali yalipoanzia na kuwa mimi ndiye niliyekuwa wakwanza kukuuliza maswali

Hili swali hujajibu na sitaki kulipotezea

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
Sasa hatukianzia hapo ulipo dakia wewe soma post namba 65 kijana. Unatakiwa uwe makini.

Maana uliye kuja msaidia alishindwa jambo hilo na wewe kadhalika mwendo ni ule ule.

Shukrani.
 
Ulileta ujuaji na ukosoaji sasa nashangaa unaahindwa vipi kutetea hoja zako ?

Hili kwangu la kukwambia ni jambo rahisi sana, ila nakufunza adabu za mjadala. Yaani uache kudandia mambo usiyo yajua na ukajidai mjuaji.

Jibu maswal niliyo kuuliza.
Sio hoja yangu na ndio maana siitetei kwakuwa mimi sikuileta hapa, aliyeileta ni wewe na ndio maana nakusisitiza hapa uijibu

Hoja yenyewe ni hii

Wewe ndio uliyeleta hii mada na wewe ndio mwenye jukumu la kutoa ufafanuzi

Vitu vilivyo nje ya uwezo wa binadamu ni vitu gani?
 
Sasa hatukianzia hapo ulipo dakia wewe soma post namba 65 kijana. Unatakiwa uwe makini.

Maana uliye kuja msaidia alishindwa jambo hilo na wewe kadhalika mwendo ni ule ule.

Shukrani.
Hatukuanzia hapo?

Haya Post #65 ulim-Quote nani?
 
Back
Top Bottom