sasa hiyo string theory ndo inakwambia wanadamu wanatoka makalioni. Unakera na utetezi wako kwa masuala ambayo ni aibu kwa jamii nzima! Shame on you the advocate of evil!Tatito hauelewi String Theory ni nini, ndio maana unakurupuka, ngoja nikupe Mwanga String theory ni ni Moja kati ya Matawi Mapya ya Fizikia na wala haihusiani na Ushoga, bali inajaribu kuelezea kuhusu Ulimwengu, yaani umetokana na nini, wanajaribu kutafuta Majibu ya Maswali kama kwa nini tuko hapa na tumetokea wapi...
Je? Utakuwa ndio ufumbuzi wa tatizo , au mbona sodoma naGomorrah Mungu aliwaangamiza ,
lakini badoo wapo , sasa basi huwezi tatua kwa njia hiyo tumia busarah , na hekima utafika
Mkuu Ushoga sio maradhi! Sitaki kuamini kwamba mtu ukiambukiza watu ukimwi huwapi madhara naamini unafahamu maradhi ya ukimwi yanavotesa watu either labda uwe umechanganya kupinga vita ya ukimwi na kunyanyapaa mgonjwa wa ukimwi!!
Umeniona mimi ni shoga kisa na pinga manyanyaso , hainitishi
Sasa naanza kuamini kuwa una matatizo makubwa mno, umefikia kumkosoa Mungu kuwa hukumu aliyoitoa kwa Sodoma na Gomora alikosea..!
hapawezi kuwa na basha kama hamna anti.
If you want silence and you cant have it then you have to eliminate source of noise
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?
Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?
Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?
Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!
Nataka niende shule ya chadema japo nijue kichaga na nimjue yesu kristo vizuri.
Hapawezi kuwa na Anti kama hakuna Basha,,,,
dah sijui nikusaidie vipi???
Embu niambie tatizo lako nini hasa unasupport ushoga na kushiriki au unawasuport lakini hushiriki,tuanzie hapa kwanza
Za kuedit zilifuata baadae ila za mwanzo mtu kaliwa. Ww baki na akili barafu zako.
We mvaa kipedo unatuchafulia uzi
sio kweli.
Naomba kueleweshwa vizuri kuhusu watu wanaopinga Ushoga Nchini kwetu, hivi wanapinga nini haswa?
Kwamba Ushoga haupo au vipi?
Kwa maana maisha yangu yote tangu niko Mtoto najua kuna Mashoga wengi sana Dar akina Aunt Mudi (Marehemu) kulikuwa mpaka kuna Baa ya Macheni Magomeni, na karibu kila Mtu analijua hilo pamoja na Serikali yenyewe kwamba kwa macheni ilikuwa ni Baa ya Ushoga, sasa tatizo liko wapi hasa? Kwa nini leo hii ishu kubwa?
Nimesoma Shule na Watoto wengi tu walikuwa Mashoga na Shule nzima tulikuwa tunajua mpaka Walimu walikuwa wanajua, Sasa kwa nini kelele zote sasa hivi?
Tatizo ni liko wapi? Naomba kuelimishwa kwani hili swala linanichanganya Kidogo!
Safi sana anatakiwa ajue kuwa hata shetani kapewa limit hajaachiwa huru kama hawa mashoga wanavyotaka. Wao wanaufurahia huu mchezo wa kuchezewa makalio yao pamoja na mindevu yao na vifua vyao vipana.