Yani watu wa hivi wananikera...mwisho utasikia dereva naomba nijisaidie! Huku maushuzi yanamtoka...Jitu unakuta umepanda nalo basi ktk safari mara limenunua mahindi ya kuchemsha linamenya maganda linakula.
Mara mishikaki, mara juisi daah alafu lina mwili mkubwa.
Hivi ni kwa nini mtu usile ukashiba halafu utulie!
Umejuaje mimi nakula kula? Kukuuliza tu kama wanakula chako ushahitimisha mimi nakula kula?We naye! acha kula kula....
Anatumia hela yako??Habari wadau,
Aisee wakuu, kuna watu wanapenda kula kula yani utakuta ratiba yake ya siku ameshakula makorokoro kibao.
Utakuta asubuhi saa 1 kanywa chai na kiporo , alafu ikifika saa 4 anakunywa supu na chapati 2, ikifika saa 5 anakula sambusa 2 na soda.
Ikifika mchana saa 8 anakula ugali na samaki na juice, ikifika saa 8 anakula karanga au keki ikifika saa 10 akikutana na muhindi anakula.
Usiku anakula tena lisahani la wali na nyama na juice.
Wadau nini chanzo cha kulakula kila saa? Ni ulafi au?
Mimi ni mmoja wao kwahio najisemea mimi mwenyewe..We mbona unawasemea wanaokula wewe yanakuhusu nini...pita hiviii...
Watu wa namna hii lazima wawe na minyoo tumboniHabari wadau,
Aisee wakuu, kuna watu wanapenda kula kula yani utakuta ratiba yake ya siku ameshakula makorokoro kibao.
Utakuta asubuhi saa 1 kanywa chai na kiporo , alafu ikifika saa 4 anakunywa supu na chapati 2, ikifika saa 5 anakula sambusa 2 na soda.
Ikifika mchana saa 8 anakula ugali na samaki na juice, ikifika saa 8 anakula karanga au keki ikifika saa 10 akikutana na muhindi anakula.
Usiku anakula tena lisahani la wali na nyama na juice.
Wadau nini chanzo cha kulakula kila saa? Ni ulafi au?