Wanaoomuamini Mungu, wana nini cha kujivunia?

Wanaoomuamini Mungu, wana nini cha kujivunia?

Kwa hiyo na wewe ukajiona bonge moja la mtu, kwamba huyo mama ni mweupe, wewe umejaa nondo..kwa hiyo hilo swali lako ndo kipimo cha Mungu yupo au hayupo na wote wakishindwa..una conclude Mungu hayupo..??Duuuh...
Hayo mambo ya Mungu yupo ama hayupo tafuteni majibu wenyewe, msitafute VALIDATION kutoka kwa watu waunge mkono mnachoamini, waacheni kama kweli hayupo ipo siku watakua enlighted kama nyinyi mnavojiona, WAO PIA wawaache - kila mtu ashinde mechi zake..
Nimeelewa
 
Mungu hamwokoi mtu kwa kutoamini, bali kwa kumfunulia ukweli hata katika ujinga wake.

Atheist haokolewi kwa kutokuwa na imani, bali kwa kubadilishwa na Mungu hadi amkiri. Hivyo, bado Yesu ndiye njia , Mungu ndiye anayemvuta mtu kwa wakati wake, na siyo sisi kwa mipaka yetu.
Yesu na Mungu wana tofauti gani tena? Si mnasemaga Yesu ndie Mungu!
 
Kwa akili zako unaona alifanya kazi ya maaana! Huo mua unaouona mtamu, kuna mwingine kwake ni mchungu. Kuna na mwingine haujui. Vinginevyo tungeuliza aliekupa mkongoto wengine wakapewa mashimo; au aliekupa akili finyu, wengine wakajaziwa. Nilichouliza mimi, nani ana haki ya kumdhihaki mwenzie kisa imani! We kama unaamini, ni juu yako, una sababu zako, na wa
 
Usiumie kwa maamuzi Yako
Nakumbuka walikwambia tunatoka kumwamini wa kweli unakwenda kwa wa uwongo ulikubali mwenyewe hivyo pambana na hapo hutoki tena
Shida zipo kote
 
Hivi, kwa nini watu wanaomuamini Mungu wakisoma posts za wasioamini katika uwepo wake, wanaumia na kuona kama kuna viumbe hawana akili.

Wakati huo huo, wasiomuamini huyo Mungu, wanawaona wenzao kama kawaida, wenye haki ya kuamini wanachokitaka, bila kejeri na matusi kama ya wana wa Mungu?


Mungu wa wanaomuamini yawezekana hana heshima na yeye ndo wanajifunza huko!!!!

Wakati huo huo, wasioamini wengine wana maisha mazuri kuliko wanaoamini na kuabudu, wenzetu wanaoamini, Mungu wao kama mbaguzi na anawajali wasiomuamini, iweje waandame wasioamini? Si hiari yao?
Pole! Mwendawazimu akinyamaza anaonekana ana akili kuliko wewe!
 
Kwao imani ni kipimo cha uhakika yaani unaweza kumkuta muumini akijaribu kunywa maji ya kunawia mikono kwa kigezo cha imani lakini ni ngumu sana kumkuta mtu huyohuyo akinawa maji ya kunywa kwa kudai hilo ni kosa.


Mtu wa Imani anaamini jua linawaka kwasababu giza ni kosa wakati sisi tunaotumia fikra wazi tunaliona giza ni kama kivuli cha jua.
 
Dini ni utapeli that's why china na baadhi ya nchi za Asia Wana miungu Yao na wanamafanikio kuliko nchi ambazo zinazo muamini Yesu na Muhammad
Sorry Nimeishia kusomea hapa.

There are so many things wrong with this I don't even know where to begin with you! ! !

Neither do I intend to engage, honestly.

Kwa Kifupi: Jesus Walked on Earth, did great miracles, was killed, and Ressurected on the third day.

Do with that what you will.

Bye.
 
Sorry Nimeishia kusomea hapa.

There's so many things wrong with this I don't even know where to begin with you! ! !

Neither do I intend to engage, honestly.

Kwa Kifupi: Jesus Walked on Earth, did great miracles, was killed, and Ressurected on the third day.

Do with that what you will.

Bye.
Unaruka ruka tu jibu hoja for fact

Kwanini Mungu mwenye nguvu aruhusu mabaya yaweze kuwafika watu wakati Ambao ni very decent wakati yeye yupo !?
 
Unaruka ruka tu jibu hoja for fact

Kwanini Mungu mwenye nguvu aruhusu mabaya yaweze kuwafika watu wakati Ambao ni very decent wakati yeye yupo !?
Siko hapa kujibu maswali yako! ! !

Endelea kutafuta majibu labda utapata! !

It was written: “Msiwape mbwa vitu vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua nyinyi; wala msiwatupie nguruwe lulu zenu wasije wakazikanyaga."
mat.7.6.BHN
 
Kuna Uzima wa Milele Kupitia Yesu Kristo wa Nazareth Aliye Hai,Yohana 14 Mstari 6
 
Sasa huyo rafiki yako naye kwani hajui imani yako mpaka akwambie wewe ndiye umtafutie mtumishi?
 
Hivi, kwa nini watu wanaomuamini Mungu wakisoma posts za wasioamini katika uwepo wake, wanaumia na kuona kama kuna viumbe hawana akili.

Wakati huo huo, wasiomuamini huyo Mungu, wanawaona wenzao kama kawaida, wenye haki ya kuamini wanachokitaka, bila kejeri na matusi kama ya wana wa Mungu?


Mungu wa wanaomuamini yawezekana hana heshima na yeye ndo wanajifunza huko!!!!

Wakati huo huo, wasioamini wengine wana maisha mazuri kuliko wanaoamini na kuabudu, wenzetu wanaoamini, Mungu wao kama mbaguzi na anawajali wasiomuamini, iweje waandame wasioamini? Si hiari yao?
Endelea kutoamini uwepo wa mungu,kwani umezuiwa??
 
Back
Top Bottom