Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,126
Kosa la pili la Muhongo ni kupeleka umeme vijijini
Amepeleka kwa samadi yake au pesa za watanzania?
Kosa la pili la Muhongo ni kupeleka umeme vijijini
Sendeka kala Pesa zake sana akajua biashara itamalizika kule Dodoma lakini wamedunda ile mbaya, Mengi anataka kuwadai pesa zake, Huyo mengi mwenyewe ni Mwizi huwa halipi Kodi hana mfano wa kuigwa.Bora sasa mengi amejitokeza na muhongo waziwazi alikuwa anatumia watu sasa ameona muhongo anapendwa na watu amejitokeza mzimamzima kupambana na muhongo kupitia magazeti yake na tv mengi mjinga sana
Ametumia akina mbowe,mbatia,kafulila,zitto,deo filikunjombe haikuzaa matunda sasa kaingia mwenyewe mzee anabalaa huyu fisadi la mafisadi.
Tatizo la wana CCM ni dogo sana hamjui kutoa ushahidi na kuzuia tetesi,sasa mmeambiwa mjibu mnaanza kubwabwaja hapa.Hii haito wasaidia kumsafisha mtoto mpendwa Muhongo.
Hana makosa kabisa huyu malaika wa mola....
Ana mazuri mengi tu baadhi ya hayo mazuri ni:
1. Kusema fedha za escrow SI ZA UMMA kwani TANESCO wana madeni makubwa wanayodaiwa na IPTL.
2. Kusema ya kuwa Watanzania hawana uwezo wa kuwekeza wakati hata hao wawekezaji wenyewe wanaopewa vitalu wanakopa kwenye Bank zao.
3. Ni profesa mpole sana na mcheshi sana mwenye maneno ya upole sijawahi kuona hasa kwa wana MTWARA
4.Ni Professor wa pekee mwenye uwezo wa kutoa facts and figures ambazo hazikuwa ferified popote zinazopinga report ya CAG.
5.Ni kiongozi ambaye hana Kinyongo, anatafuta suluhu na wadau wake na hana kinyongo na Mengi na Mkono. Ni kiongozi wa mfano wa kuigwa. upendo wake kwa mahasimu wake umezidi kipimo.
6. Hajawahi kusema uongo kabisa. Nawahakikishia alishawahidi waTZ hakutakuwa na Mgao wa Umeme na toka atoe tamko hilo HAKUJAWAHI KUWA NA MGAO WA UMEME. Wote tu mashahidi umeme haukatiki na asilimia 99 ya nchi ina umeme masaa 24 na hasa zile siku za muwasilishwa ripoti ya Esrow aliwapa maagizo mameneja wote wa TANESCO umeme usikatike na HAUKUKATIKA KABISA. Huyu Profesor sio MUONGO KABISA ni MKWELI TUUU.
8. Hajalewa madaraka, hang'ang'anii madaraka na ni mtu wa watu. Ni chaguo la thithiem
9. Ni professor ambaye atachaguliwa kwa kura za kishindo endapo atapitishwa kuwa Mgombea wa Urais na kuna motisha ya Laptops kwa wote!
10.........................................
Viva Le proffeseri.......
Kosa la muhongo ni mwongo na mwizi. Kuna nini tena ivi lini mtakuwa na akili timamu mi mnaniudhi eti muhongo anakosa gani ivi hata mtoto mdogo anaweza kukujibu.
Ni ujuha kumtetea muhalifu
Usikariri kuwa kila anayekosoa kazi ya PAC ni mwana CCM.kumbuka mengi ni CCM pengne mkongwe kuliko hata Muhongo.Mwigulu pia ni CCM,kadhalika Sendeka,Lugola,Deo,Hamis n.k.Watu tuna-argue kwa hoja, hatuwezi kukubali kulishwa ujinga kisa eti utaonekana mwana CCM.Ukweli utabaki kuwa ESCROW HAIKUWA HELA YA UMMA ISIPOKUWA KODI AMBAYO HAIKULIPWA WAKATI WA MAUZIANO YA HISA NA MUHUSIKA NI AG.MTU ASIYEJUA NA LAKINI HANA UTAMBUZI KUWA HAJUI, HUYO NI MPUMBAVU.MMELEWA USHABIKI WA KIJINGA NA KUJIONDOA AKILI.HATUTAKI WANAUKAWA WASIO NA AKILI,WAKUQUPUKAJI,WASIO-REASON!SHTP.
kwa nchi za wenzetu, ukifanya mazuri 100 ukaboronga moja unahukumiwa na hilo hilo moja!
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya mil 40 inakuwa ni kichekesho kumwona mtu ambae ameshachafuka kuwa bado anafaa kuongoza. Kwani kabla yake Wizara ilikuwa haina Waziri? Tuache unafiki, uteuzi wa kujuana na upuuzi wa kusema huyu tukimweka pale atatuzibia muone kama hamtampata Mtanzania mwindine anaefaa kushika hiyo Wizara. Kama ndani ya CCM wameisha, angalieni na vyama vya upinzani.
Hilo linawezekana kama walivyofanya Wakenya majuzi. Hii nchi ni yetu na hamna nafasi kutetea wezi na watu wanao ongea uongo mchana kweupee, Kwa uongo alioongea Bungeni alipokuwa anajitetea, hapaswi hata kurudi Chuoni kufundisha.
Nashauri uteuzi ufanyike mara moja ili topic hii iweze kufungwa la sivyo mnataka Watanzania wote tuonekane HATUNAZO! kwa nchi za wenzetu, ukifanya mazuri 100 ukaboronga moja unahukumiwa na hilo hilo moja!
Kwenye nchi yenye watu zaidi ya mil 40 inakuwa ni kichekesho kumwona mtu ambae ameshachafuka kuwa bado anafaa kuongoza. Kwani kabla yake Wizara ilikuwa haina Waziri? Tuache unafiki, uteuzi wa kujuana na upuuzi wa kusema huyu tukimweka pale atatuzibia muone kama hamtampata Mtanzania mwindine anaefaa kushika hiyo Wizara. Kama ndani ya CCM wameisha, angalieni na vyama vya upinzani.
Hilo linawezekana kama walivyofanya Wakenya majuzi. Hii nchi ni yetu na hamna nafasi kutetea wezi na watu wanao ongea uongo mchana kweupee, Kwa uongo alioongea Bungeni alipokuwa anajitetea, hapaswi hata kurudi Chuoni kufundisha.
Nashauri uteuzi ufanyike mara moja ili topic hii iweze kufungwa la sivyo mnataka Watanzania wote tuonekane HATUNAZO!
Mada sio hoja ya PAC bali ni vipi mh.Muhongo ana kwepa lawama.Sasa huwezi kusema kuwa ni msafi bila kusibitisha kwa vigezo na ushahidi.Watu wanatumia taarifa ya PAC, CAG kuthibitisha kuwa fedha ni za umma unapokanusha toa evidence sio kupayuka.
Ainisha uhalifu wake mkuu,uhalifu una sura nyingi mkuu uhalifu wa kijinai ama wa aina gani ? na wenyewe unatajwa na sharia ipi katika sharia tulizonazo?
Ni Pg namba ngapi ya report ya CAG iliyosema conclusively kwamba pesa yote iliyokuwemo kwenye Escrow account ni ya uma? bali ni ile statement kwamba yawezakuwa ya uma au sio ya umaa ...