Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,047
- 219,059
Nimeshangaa sana kusikia eti leo kuna watu tena viongozi wa dini ambao wanamtetea Mtu Muhuni aliyekosa adabu Cyprian Musiba, ipo haja ya kuchunguza kama kweli watu hawa ni viongozi halali wa dini, hivi kweli kiongozi wa dini anayejiheshimu anawezaje kutetea huyu kijana mshenzi asiye na ubinadamu wowote?
Kama waliacha Musiba atukane na kudhalilisha watu na viongozi bila kumkanya, basi waendelee kunyamaza. Ni aibu kubwa sana kwao kutetea huyu kijana mjinga aliyemtegemea mwanadamu mwenzake kutukana na kudhalilisha wengine.
Natoa onyo kwa viongozi hao wa dini waache mara moja kutetea ujinga kabla hatujawadharau moja kwa moja.
Kama waliacha Musiba atukane na kudhalilisha watu na viongozi bila kumkanya, basi waendelee kunyamaza. Ni aibu kubwa sana kwao kutetea huyu kijana mjinga aliyemtegemea mwanadamu mwenzake kutukana na kudhalilisha wengine.
Natoa onyo kwa viongozi hao wa dini waache mara moja kutetea ujinga kabla hatujawadharau moja kwa moja.