Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to the Almighty. Leo wazo langu lipo kama hivi;
Wanaomiliki vitambulisho vya Rais Magufuli kwa wajasiriamali walipaswa kulipa nusu ya kiingilio mechi ya Tanzania Vs Uganda. Itaongeza ushawishi zaidi.
Hili suala litaongeza ushawishi zaidi kwa wajasiriamali wadogo kwa maana kwamba ukiongelea ushabiki wa soccer kindakindaki hapa unaongelea watu wa kipato cha chini wanaokaa kule juu kabisa wanaojichora rangi za uzalendo za bendera usoni pamoja na kubeba mabango ya ukereketwa wa soccer.
Kama kiingilio cha bei ya chini kabisa ni shillings 10,000 basi mjasiriamali anayemiliki kitambulisho anaweza kulipia let's say 5,000 ili kuongeza ushawishi na hamasa kwa wajasiriamali wadogo wengi kuchukua vitambulisho hivi kwa manufaa mapana yao na biashara zao.
Hili ni wazo langu tu na nipo tayari kusahihishwa. This is my own idea and I stand to be corrected.
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.
Wanaomiliki vitambulisho vya Rais Magufuli kwa wajasiriamali walipaswa kulipa nusu ya kiingilio mechi ya Tanzania Vs Uganda. Itaongeza ushawishi zaidi.
Hili suala litaongeza ushawishi zaidi kwa wajasiriamali wadogo kwa maana kwamba ukiongelea ushabiki wa soccer kindakindaki hapa unaongelea watu wa kipato cha chini wanaokaa kule juu kabisa wanaojichora rangi za uzalendo za bendera usoni pamoja na kubeba mabango ya ukereketwa wa soccer.
Kama kiingilio cha bei ya chini kabisa ni shillings 10,000 basi mjasiriamali anayemiliki kitambulisho anaweza kulipia let's say 5,000 ili kuongeza ushawishi na hamasa kwa wajasiriamali wadogo wengi kuchukua vitambulisho hivi kwa manufaa mapana yao na biashara zao.
Hili ni wazo langu tu na nipo tayari kusahihishwa. This is my own idea and I stand to be corrected.
KIJANA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA.