Zile ofisi za chama chetu zilizosambaa nchi nzima tulijenga kwa ruzuku au mchango WA wananchi wakati chama kimeshika hatam?naomba kujua.alafu naomba kuuliza HV viwanja vya mpira vya nchi hii NI Mali ya chama chetu au NI Mali ya wananchi?majibu tafadhali mheshimiwaaa.Ingekuwa vyema ufuatilie na kuhoji Ruzuku za CHADEMA zinakwenda wapi mpaka chama kinakosa ofisi zenye hadhi ya chama chenye umri wa miaka zaidi ya 32.
Ungehoji ni kwanini Mbowe ameng'ang'ania uwenyekiti kwa miaka 20 sasa kana kwamba wanachama wengine ni manyumbu na mazuzu wasio na akili ambao hawawezi kuongoza chama isipokuwa yeye tu.