Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,316
Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.
Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini)
Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais kutumiwa na kila Gang ni hatari sana. Ni vema tukawafahamu watu hawa ili tupime uadilifu wao, tuone kama kweli wanastahili kutumia jina la Rais.