Swordfisher
JF-Expert Member
- May 1, 2013
- 233
- 37
Habari gani wakuu? Wale wote wanaojishughulisha na biashara zilizotajwa hapo juu naomba tuwasiliane.
Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia mkataba na wafanyabiashara wa hizo biashara kama agent.
Kwa anaeuza vifaranga vya sato mikoa ya : Tanga, Manyara na Moshi, naomba tuwasiliane mara moja bila kuchelewa.
Mimi ni mjasiriamali nilie na base kubwa ya wateja wa biashara hizo na ningependa kuingia mkataba na wafanyabiashara wa hizo biashara kama agent.
Kwa anaeuza vifaranga vya sato mikoa ya : Tanga, Manyara na Moshi, naomba tuwasiliane mara moja bila kuchelewa.