Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 540
Mimi ni mkazi wa Musoma natafuta wafanyabiashara nitakaofanya nao biashara ya dagaa wa mafuta au waliokaangwa, dagaa waliokaushwa na jua, samaki sangara waliokaangwa na sato waliokaangwa.
Nitakutumia mzigo popote ulipo, Dar es salaam, Moshi, Singida, Manyara, Arusha na maeneo mengine yenye shida ya mboga kama Dodoma, Iringa, Njombe, Morogoro na Mbeya.
Naombeni msaada.
Nitakutumia mzigo popote ulipo, Dar es salaam, Moshi, Singida, Manyara, Arusha na maeneo mengine yenye shida ya mboga kama Dodoma, Iringa, Njombe, Morogoro na Mbeya.
Naombeni msaada.