Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,012
- 26,174
Ajali ya mtu wangu wa karibu ilitokea Korogwe, michungwani Tanga miaka 4 iliyopita. Wale wakaazi wa Pale , ilikuwa saa 11 alfajiri, wakafika wakapora simu, pochi , begi na kadhalika, yule mtu wangu akafia muhimbili baada ya wiki moja, alifia ICU.
Ndugu zangu wa Michungwani pale Tanga, hivi mnajisikiaje kula hela yenye damu?
Mnawezaje kupora mgonjwa mahututi na kula hela na wake zenu kitanddani mkiwa uchi?
Ajali ya Same juzi jumamosi, watu wameungua, manusura wanakwambia watu wamekuja kupora hela na hawa hangaiki na kuokoa watu, wote wanaodhulumu na kula fedha zenye damu, laana hiyo itakula viziza vyao mpaka cha nne.
Ndugu zangu wa Michungwani pale Tanga, hivi mnajisikiaje kula hela yenye damu?
Mnawezaje kupora mgonjwa mahututi na kula hela na wake zenu kitanddani mkiwa uchi?
Ajali ya Same juzi jumamosi, watu wameungua, manusura wanakwambia watu wamekuja kupora hela na hawa hangaiki na kuokoa watu, wote wanaodhulumu na kula fedha zenye damu, laana hiyo itakula viziza vyao mpaka cha nne.