Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
- Thread starter
- #61
Hilo buzi linalokuhamisha mitaa lina shida sana
Hahahahaaa hilo buzi ni mwanaume mwenzio na inabidi umsifu kwa kuntunza au ulitaka wewe ndo uwe buzi langu? Sili cha mtu mie nakula pesa yangu, nakula ujana.... wengine wananiita popo, wewe waniita nani?