Wananiita popo, Kasinde

Wananiita popo, Kasinde

Hilo buzi linalokuhamisha mitaa lina shida sana

Hahahahaaa hilo buzi ni mwanaume mwenzio na inabidi umsifu kwa kuntunza au ulitaka wewe ndo uwe buzi langu? Sili cha mtu mie nakula pesa yangu, nakula ujana.... wengine wananiita popo, wewe waniita nani?
 
tena aliyetaka kuwa mume kwa kasinde ndo panamfaa mimi alinionea


@7 5mm mke huyuuuu atakifaa

Sihitaji kupigiwa debe, humu jamvini hakuna mwanaume anayeniweza......, we kodoa machoo tu wakati mie nakula ujana
 
Unaondoka alfajiri na unarudi saa kumi usiku???

Uwe makini utungapo hizi stori

Naondoka alfajiri ya saa kumi na mbili kuelekea kazini, narudi saa kumi (ofcourse ni alfajiri) ila kwa sababu kunakuwa na giza naita saa kumi usiku. Umenisoma???
This is not a fir tale it is a life style am living, nakula ujana babuu
 
ndoto za namna hii huwa mara nyingi zinaishia kujikojolea.......

Hhaahahahaaaa shindwa na ulegeee looh naanza sa ngapi kujikojolea wakati nalaa saa moja na nusu kati ya masaa 24 looh
Am not dreaming this is how I live
 
Hahahahaaa hilo buzi ni mwanaume mwenzio na inabidi umsifu kwa kuntunza au ulitaka wewe ndo uwe buzi langu? Sili cha mtu mie nakula pesa yangu, nakula ujana.... wengine wananiita popo, wewe waniita nani?

Kasinde, the crush girl
 
teh teh teh, ujue mimi huwa nakuangalia tu, fanya uwe unawahi basi mara moja moja maana nina mazungumzo na wewe ati.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom