Wananiita popo, Kasinde

Wananiita popo, Kasinde

duuh hongera kwa kutembelewa na mijihela. mie hapa hata mchana sijui kama mkono utaenda kinywani. dunia haina usawa kabisa

asante, usijali endelea kupambana tuu hata nawe zitakutembelea pia.
 
Kwa hizo sentensi mbili without a shadow of doubt ni kwamba uzee ushakupigia hodi na hutaki kukubaliana na matokeo!!But ni vema kujipa moyo sometimes.
Good day too.

Hahahahahaaaaaaa
 
This tym hujapigwa miti?

Hapana ni kunywa na kucheza mziki hadi sakafu inapasuka, nimegundua kupigwa miti unazeeka nimeacha now nakula ujana....
 
Bado wewe dada yngu, Lara 1 katulizwa na Matola.Nahisi Makomana ana kufaa sana.

mie bado sana kuolewa na sasa nakula ujana in a way nakuwa na kampani na watu kibao ila hakuna room ya kudate na mimi wala kunipiga P, kampani kwangu ni kula ujana tuu, kula, kunywa kucheza na ku exercise. Humu hakuna mwanaume atakayeniweza as sijiweki wife material, full ujana.
 
Atamfaa mnooo

Ndo nani huyo, mbona mnampigia debe ananifaa, mie kama huyo ni mtu wa kujirusha na aje ila strict kula ujana, P akapige kwao looh. Pia awe na cash ya kujilipia sio mambo ya kuanza kulipishana bili akuuu, mie natoka na watu ambao kila mtu anajilipia anachotumia, kampani inakuja kucheza, kukaa meza moja, baaas!!!
 
ile unashtuka kumbe ilikuwa ndoto

waaapi yaani hii ni life style 24/7 nikipumzika nimeenda kanisani na nikiwa kazini. Nje ya maeneo hayo ni kula ujana!!!
 
Sikunyingine ukiona ivyo then niusiku wamanane wewe gonga tu hao sio watu ni mashetani.Baba yangu alishawai kukutana na mtu barabarani kapiaga honi mtu apishea wapi ilipita speed akamgonga kugeuka nyuma kuangalia hakuona mtu wala damu

Daaah ila ilinitisha, poa ntafanya hivo yaani kula ujana raha sana
 
Hii promo
Fursa washindwe tu cos kasinde mwenyewe pesa ipo kasema

kama kawa ila mie sihongi vidume, pesa yangu nakula mwenyewe. Mwanaume kwangu ni kampani tuu ya kula ujana kila mtu alipe bili yake wala mie sitaki kulipiwa, niko kamili gado!
 
Kweli hujapata genye hata kdg?

walaaaa coz sipati usingizi wa kutosha nyege sipati maana naondoka alfajiri ya saa kumi na mbili kwenda kazini na narudi saa kumi alfajiri kulala na kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini tena
 
Simu ulizoibiwa ulipata?

Usinikumbushe machungu, ni moja ya majanga yaliyonifanya niamue kula ujana. Sijapata simu yoyote na hadi sasa bado sijanunua simu ingine
 
walaaaa coz sipati usingizi wa kutosha nyege sipati maana naondoka alfajiri ya saa kumi na mbili kwenda kazini na narudi saa kumi alfajiri kulala na kujiandaa kwa ajili ya kwenda kazini tena

Ukiona kidude hakichezi kutaka dudu ujue uzee umeingia kasinde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom