Wanandoa wagegedane mara ngapi kwa wiki?

Wanandoa wagegedane mara ngapi kwa wiki?

hyo hainaga ratiba bwana inategemeana na vibes zenu nyie km nyie baadae mtajikontrol tu watoto wakizaliwa..
Usiku unataka kugegeda, mtoto kaamuka analia usiku kucha, kugegeda sana kabla watoto awajawa na miaka 3 na kuendelea. Baada ya apo mapenzi hayanaga raha tena katika ndoa. Unamuacha mke unaenda kutafuta kiburudisho pembeni
 
Nina miaka 27 natarajia kuoa tar 2 julai mwaka huu, lkn kwa mazoea nilokua sa ivi siwez pitisha siku 2 bila kugegeda..yaan hata yeye mke mtarajiwa asipokua karbu hua nalazmika kutafta mchepuko ili kulituliza dushe

Ninachojiuliza nitatakiwa ni'sex mara ngapi kwa wiki na migegedo mingapi kwa kila cku ilopendezwa?

Naomben ushaur va'ndg vapendwa!
Wakizaliwa watoto, ukidaiwa hela na fundi anayejenga nyumba yako, ukidaiwa ada za watoto shule, wadogo zako wakidaiwa ada chuo, shemeji zako nao wakidaiwa ada za shule ama chuo, na mama mkwe akija anahitaji nauli ya kurudi Ngara urudi hapa uje utusimulie kama bado unagegeda kila saa kama unavyosema!
 
Na Dr. E Hyela

*WANAWAKE WANAOJAMIIANA ANGALAU MARA NNE KWA WIKI HUONEKANA VIJANA KWA MIAKA 7 AU 12 ZAIDI KWA SABABU KUJAMIIANA KUNAONGEZA HORMONE YA OESTROGEN AMBAYO HUZIFANYA NYWELE ZA WANAWAKE KUWA NZURI NA PIA NGOZI YENYE KUNG'AA HIVYO BASI WANAUME MNASHAURIWA KUHAKIKISHA KUWA WANAWAKE HAWAZEEKI KWA KUWAPA MAMBO MOTO MOTO NA WANAWAKE MSIBANE SANA MTAZEEKA BURE* copy & paste
Hakika sitazeeka.
 
huu ndio ukweli sidhani kam kuna limit...mkipata mihemko tu hamna budi kujipa raha si kila mmoja aliondoka kwao akafata hiyo kitu kwani kwa wazazi hakukuwa na vyakula au mavazi...

mtakapojisikia tu basi kwa raha zenu tabu ya kujibanabana inahusuu
Wacha wee alafu nasikia wanyeramba kwa kupigana miti hamjambo
 
Back
Top Bottom