Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
sijui ndo maana huwa najiuliza hilo swali
Hazihesabiki
sijui ndo maana huwa najiuliza hilo swali
sifaham sababu sijawahi hesabu mie nikitak sawa mr. akitak sawa hivo sijawahi hesabuHujui hilo
Wee unafanya mara ngap kwa week labda ili nikushauri
nkiingia kwenye ndoa ntazihesabuHazihesabiki
W amekutana nae kirohoKijana samahani naomba unifahamishe, kwani huyo unayemuoa ulishawahi kukutana naye kimwili?

unawaambia watu mara 4 siwatazeeka??Hahaa nimekuwa mtu mbaya tena mara hii
Duh![]()
![]()
sifaham sababu sijawahi hesabu mie nikitak sawa mr. akitak sawa hivo sijawahi hesabu
aya bwana mnyiramba Ngono haizeeshi walaunawaambia watu mara 4 siwatazeeka??
Subiri tukifunga yetu utapata majibu kila usikuDaah amna kitu najiuliza kama hichi karibuni wanandoa
haya docta...asanteNgono haizeeshi wala
Kungonoka mara kwa mara kunapunguza umri wa kuzeeka
Hivo mnashauriwa muwe mnafanya at least mara 4 kwa week
Wewe hata hivyo si ushazeeka tayr miaka 47 si masihara
Kama hujaingia na hazihesabiki ukiingia si mtu atafia kwny kinenankiingia kwenye ndoa ntazihesabu
atakufa kwasababu gani??Kama hujaingia na hazihesabiki ukiingia si mtu atafia kwny kinena
atakufa kwasababu gani??
sijawah kufanyaZa kiufundi
na mimi nilitaka nimjibu hivyo hivyo..Majukumu yakiongezeka utakuja kulia humu ooo anataka tufanye kila siku