Wanandoa: Upangaji wa nguo chumbani

Wanandoa: Upangaji wa nguo chumbani

Mwanamke kila week ananunua nguo. Mwanaume baada ya miezi 6 ndo anunue nguo.
Lazima chumba kijae nguo zake.
 
Mimi nlidhani ni wife pekee. mwanzo tuligawana partitions akavamia zangu na kuhamia kabati la chumba cha wageni. kuna begi lina vitenge vina 5 years hagawi anasema atashona. nkiwa na hela nyumba ya pili lazima iwe na walk in closet. huu uzi umenifungua sana
 
Unajua komenti nyingine sio nzuri?????


Mimi nlidhani ni wife pekee. mwanzo tuligawana partitions akavamia zangu na kuhamia kabati la chumba cha wageni. kuna begi lina vitenge vina 5 years hagawi anasema atashona. nkiwa na hela nyumba ya pili lazima iwe na walk in closet. huu uzi umenifungua sana

Maana nina sanduku lina vitenge kadhaa na juzi nimeongezea vingine....nikiambiwa nivishone naona fundi ataniharibia

Hahaha........
 
Haaaaa ni kama waongea na mie maana nikipanga leo baada ya siku mbili mvurugano
 
Unajua komenti nyingine sio nzuri?????




Maana nina sanduku lina vitenge kadhaa na juzi nimeongezea vingine....nikiambiwa nivishone naona fundi ataniharibia

Hahaha........

nimekugusa mkuu, ndo zenu we ngoja atakuta nimezigawa zote siku
 
Mimi nlidhani ni wife pekee. mwanzo tuligawana partitions akavamia zangu na kuhamia kabati la chumba cha wageni. kuna begi lina vitenge vina 5 years hagawi anasema atashona. nkiwa na hela nyumba ya pili lazima iwe na walk in closet. huu uzi umenifungua sana

Hapo ndiyo utajuwa kumbe wife wako anamiliki 'duka', maana hiyo kitu itajazwa fasta mpaka ushangae.
 
Nimecheka sana lo
Nadhani bora kununua sox zinazofanana pair nying
Ushauri wa kuweka mbili pamoja ni mzur
Ni vema kuwa na kabati lenye droo au chest droo
Humo sox,boxer,underpants,bra kila kimoja kwenye droo yake na kila mtu na yak
Ushauri wa kugawa visizotumika ni mzuri sana katika nyumba,vinginevyo mrundikano wa nguo,viatu,utakuwa mpaka chumba cha watot
Wakikua nao wanadhani ndio mfumo wa maish
Unakuta vitu vimerundikana kila mahali
Mfano,kuna umuhimu gani wa kuwa na nguo,chombo au kifaa usichotumia mwaka mzim
Hii hatari
Wengi wanaishi mahali kama stoo
 
Naongelea hali halisi ya maisha ya watanzania wengi. wangapi wanaweza kuafford 1 bedroom house.

Hapo unauwezo wa kununua bundle + unamiliki smartphone.
Chumba na sebule watoto wako wanalala wapi?
Mwanaume jiongeze.
 
Back
Top Bottom