Chumba na sebule tena ya kupanga walk in closet inatoka wapi. Hayo ndio maisha wengi wetu.
Hapo unauwezo wa kununua bundle + unamiliki smartphone.
Chumba na sebule watoto wako wanalala wapi?
Mwanaume jiongeze.
Chumba na sebule tena ya kupanga walk in closet inatoka wapi. Hayo ndio maisha wengi wetu.
Taabu ipo kwenye sox...halafu uwe una haraka..ushaiona nyeupe unaamua kuivaa...tafuta enzake huioni,,,,kila ukipekua zinatoka nyeusi,:A S angry:
basi waweke na uvunguni au wapange chumba cha nguo
ha hah aha sasa nimejua kwa nini baba yangu kabati lake la nguo lipo chumbani kwa watoto wa kiume ......
Ukishagundua tatizo ndio mwanzo wa kuanza kulitatua, hivyo basi ni kuwa na masterbedroom kubwa yenye kabati kubwa kulingana na mahitaji yenu au kama ni kabati la kawaida siku zote kwenye kabati lazima kuwe na kiongozi ambae kazi yake ni kufanya arrangement, in this case huyo huyo mwanamke unamwachia jukumu yeye atajua namna ya kuzipangalia hizo nguo zenu
Aisee kuna issue ya sox,utatafuta unapata rangi tofauti...kwa hali hii bora nijipangie mwenyewe kuokoa muda wa kudamka usubuhi...
Inafaa lijadiliwe maana linatugusa wengi, chumba kinakuwa min store! Khaaa!
Na zingine kwenye sanduku alafu zle za kutokea huwa zinakaa chini ya sanduku
ha ha haha ila sisi wanawake bwana kama wachokozi wa asili .. usipokuwa na hekima unaweza mbondaMama hajaamua tu anaweza lizamia hukohuko, chezea wamama weee!
eeee tena chini ya sanduku siku ya kuzitoa zinakua mpyaaa
ha ha haha ila sisi wanawake bwana kama wachokozi wa asili .. usipokuwa na hekima unaweza mbonda
Yaani bedroom, mke hata awe mstaarab kiasi gani kikawaida huwa anameza nafasi ya uhifadhi wa nguo.
Kama ni kabati atajaza nguo zake mpaka wewe uhamie masandukuni na huko usipokuwa makini utakuta kaanza kuweka nguo zake inabidi uhamie kwenye mabegi.
Pia huko atajaza na kwa sababu wanaume hatutaki usumbufu wa kutafuta na kupekua nguo utampisha utafute namna ya kutundika nako huko atakufata utakosa nafasi ya kutundika.
Wakati huo chumba kitakuwa kama store, nyie wamama nyiee.
Vichwa vyenu made in wapiii?
ha ha haha napata picha kero ikizidi... mimi ikizidigi huwa nasikia mkojonyi mmezidi alafu mda mwngne utakuta anakukera we unakereka haswaa alafu ye anacheka yani kafurahii we ulivyokereka
Taabu ipo kwenye sox...halafu uwe una haraka..ushaiona nyeupe unaamua kuivaa...tafuta enzake huioni,,,,kila ukipekua zinatoka nyeusi,:A S angry:
Mkuu umenifurahisha sana aisee inaelekea wewe ni mhanga wa aisee kwa jinsi unavyojibuMkubwa una mke? Kama unaye basi mna muda mfupi sana tandu mwe pamoja, tuulize sisi tunaojukuu, ni shida.
Na usijaribu kusolve tatizo kwa kuongeza kabati nyingine, utajuta!