Mentor, iwapo MJEDA angesema atusaidie huko tulipo, labda hata hapa JF msingenijua.....
Kuna mambo mengine kuyajadili kijumla jumla hatuwezi kupata muafaka, mimi labda tu niseme kwamba sishabikii kuishi na ndugu hasa kwa mazingira ya sasa, lakini wengi wetu hapa tumelelewa na ndugu na kusomeshwa na ndugu, kwa hiyo wakati tunapinga hapa, lazima tukumbuke tulipotoka........