Wanandoa na extended family


Siajaabu hata tution classes bi harusi anawajibika.... baada ya kuwaandalia chakula ! ( lakini jamanii hosteli zipo nyingi,Mama ntilie zipo kila kona, Khaa sijui tabia gani zisizoeleweka? ) Lifu tunaishi once !
 
Krenea your right.kwenye ndoa nyingi wanawake ni wabinafsi sana sana.wanapenda na kufurahi wakija ndugu zake.lakini wakija wa mume ni matatizo.badilikeni wake zetu
 
ili kuepusha shari na kufanya uwelewane na mkeo/mume ni kuwasaidia ndugu hukohuko waliko, ni ndugu wachache sana ambao wanaweza wakawa waelewa lakini asilimia kubwa ni sheeeda
 

kinachonishangazaga mimi ni kwa nini ugonvi wa mke na mashemeji au mawifi uonekane wa ajabu kana kwamba yeye na ndugu zake huwa hawagombani, nadhani tunashindwa tu kuziona hizo kama changamoto tulizo nazo katika familia zetu hata bila mke/mume, tujiulize ukikaa na ndugu zako tu hamgomabanagi? kwa nini ugonvi na ndugu wa mme/mke uonekane wa ajabu? extended familia kwa mtu mwenye akiri timamu haziepukiki, maana wengi ndo tulikotokea.
 
Ndio maana ukikutana na mtu lazima atakuuliza "Kwenu mpo wangapi" alaaa kumbe huwa wanamaanisha hili!

Vipi kwa upande wa wanaume nasi tuwe tunawauliza kwao wapo wangapi ili kuepuka kuwa na mawifi wengi na mashemeji????

EH muhimu kuuliza bwana....mie sitaki mke wangu kwao utitili wa madogo.
 

walau hapa umenena vizuri!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…