Wanandoa mnawezaje kuvumiliana kwenye hii hali?

Wanandoa mnawezaje kuvumiliana kwenye hii hali?

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,424
Kwa mfano mume na mke mnalala kwenye chumba cha self, choo humo humo ndani, mkeo au mmeo akienda kukata gogo mnavumilia vipi hiyo harufu mbaya? Mwenzi akitoka chooni?

Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?
 
Ila mkiachana bae wako ni kibamia, ananuka kwapa, hakufikishi.....endeleza🤣🤣🤣
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....

Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk
 
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....

Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk
Kweli not all guys are trash kwenye mapenzi!

Mis-handling ndio hupelekea mahusiano kuvunjika, the does and donts! Anapenda pussy unambania bania mara unampa ilimradi, kosa!

Anapenda attention you don't give her that hata kidogo tu ya kuridhisha nafsi. We busy na wewe tu...hee yo dey bound to fail o!

Kamwanamke kanapenda kupewa pewa hela na wewe huna kazi, my friend aga tu mapema usije kumpa mtu lawama.

Huwa nasisitiza watu ni vizuri kufanya assesment ya break-ups chanzo kilikuwa ni nini! Ili usije rudia upuuzi wako next time ukaanza kuita watu trash.
 
Kwa mfano mume na mke mnalala kwenye chumba cha self, choo humo humo ndani, mkeo au mmeo akienda kukata gogo mnavumilia vipi hiyo harufu mbaya? Mwenzi akitoka chooni?

Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?
Kwa hiyo unataka kutuambia kisa unaogopa mkeo atakunya ama kujamba mbele yako. INSANE
 
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....

Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk

Kuachana isiwe kigezo cha kuchafuana kwa maneno ya hovyo maana kuna leo na kesho. Hii tabia ya kuchafuana ni mbaya sana hasa kwa wale ambao wamezaa pamoja, athari yake huwa mbaya zaidi kwa mtoto kama mzazi mmoja atajitahidi kumuaminisha uongo dhidi ya mwenzie.
 
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....

Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk
Inbox namba yako ya simu nikutumie angalau 'ka-lunch' Kwa leo tu.👍
 
Kwa mfano mume na mke mnalala kwenye chumba cha self, choo humo humo ndani, mkeo au mmeo akienda kukata gogo mnavumilia vipi hiyo harufu mbaya? Mwenzi akitoka chooni?

Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?
Hii inaonesha experience yko ilivyo, sio kila binadam mavi yake yananuka sana, experience yko ni ya patner wako au wewe kwa maji yenu kuwa na harufu sana, ushauri tu, kunywa maji mengi na pia nenda choo mara kwa mara, itakusaidia sana
 
Kweli not all guys are trash kwenye mapenzi!

Mis-handling ndio hupelekea mahusiano kuvunjika, the does and donts! Anapenda pussy unambania bania mara unampa ilimradi, kosa!

Anapenda attention you don't give her that hata kidogo tu ya kuridhisha nafsi. We busy na wewe tu...hee yo dey bound to fail o!

Kamwanamke kanapenda kupewa pewa hela na wewe huna kazi, my friend aga tu mapema usije kumpa mtu lawama.

Huwa nasisitiza watu ni vizuri kufanya assesment ya break-ups chanzo kilikuwa ni nini! Ili usije rudia upuuzi wako next time ukaanza kuita watu trash.
You said it all, sijui binadamu tunakwama wapi.

Nakazia hapo kwenye assessment ya break ups 😆😆 mfano: Mwanaume kaachwa na Asha kisa Asha alikuwa anapenda pesa na ye anajua fika nimeachwa sababu me mchoyo/ bahili sitoi hela lakini badala abaki single mpaka atakapojirekebisha ye anaenda kwa Maimuna yanamkuta yale yale mwishowe aje kuwapa lawama wanawake kuwa wanapenda pesa kumbe tatizo ni yeye aliingia sehemu asiyoiweza.

Tukija kwa wadada me sisemi 🙌🙌😆😆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom