Kwa mfano mume na mke mnalala kwenye chumba cha self, choo humo humo ndani, mkeo au mmeo akienda kukata gogo mnavumilia vipi hiyo harufu mbaya? Mwenzi akitoka chooni?
Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?
Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?

