Wanandoa mnawezaje kuvumiliana kwenye hii hali?

Wanandoa mnawezaje kuvumiliana kwenye hii hali?

You said it all, sijui binadamu tunakwama wapi.

Nakazia hapo kwenye assessment ya break ups 😆😆 mfano: Mwanaume kaachwa na Asha kisa Asha alikuwa anapenda pesa na ye anajua fika nimeachwa sababu me mchoyo/ bahili sitoi hela lakini badala abaki single mpaka atakapojirekebisha ye anaenda kwa Maimuna yanamkuta yale yale mwishowe aje kuwapa lawama wanawake kuwa wanapenda pesa kumbe tatizo ni yeye aliingia sehemu asiyoiweza.

Tukija kwa wadada me sisemi 🙌🙌😆😆
Assessment ni muhimu sana na matatizo mengine ni ya kujitakiaga.

Unaanzaje kumpenda golddigger/slayqueen ikiwa hela huna😂
 
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....

Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk
Duh...I wish I could..
 
Hakuna mtu anayependa harufu ya mavi lakini tatzo linaanzia kwenye design ya choo chenu. Unaweza ukawa na choo cha self lakini the way ulivyokidizain hata mtu akiwa chumbani hawezi feel harufu ya mavi, sometym hata sauti wakati unashusha kitu sio rahisi kusikia
 
Babaaaa kuna kitu kinaitwa air freshener huwa unapuliza ukimaliza kukata gogo.................. kuna air freshener nzuri sana za kutumia toilet saa zote harufu ni nzuri amka huko ulipo tuko ulimwengu mwingine

hata hivyo bado una utoto pia
 
Sio kila mtu ni mpenzi wa hizo air freshener. Bora vile vya toilet ambacho chenyewe ni unaning'iniza toilet tu kinavuta harufu... Air freshener za kupuliza wengine wana allergy na manukato.
Babaaaa kuna kitu kinaitwa air freshener huwa unapuliza ukimaliza kukata gogo.................. kuna air freshener nzuri sana za kutumia toilet saa zote harufu ni nzuri amka huko ulipo tuko ulimwengu mwingine

hata hivyo bado una utoto pia
 
Mkuu kile kiapo cha siku ya ndoa ...kuishi kwa shida na raha.....moja ya misingi yake ni kama hicho unachokizungumzia.....na sio shida na raha za kulala na njaa tu....kuna wakati mwenzio anaweza ugua akashindwa hata kwenda chooni au bafuni....ni wewe ndio wakumsaidia kwa kila kitu....anajisadia na kuoga kitandani.....je utaacha kumsadia kwa kuogopa harufu! ....ukifanya hivyo utakuwa umevunja kiapo cha ndoa....lakini vile vile kwenye ndoa....mke pia ni mama....na mme ni baba... hivyo kila mtu ni mtoto kwa mwenzie na mzazi wa mwenzie...na siku zote mzazi huwa haoni kinyaaa kwa mtoto wake....haya yote yanawezekana Kama tu mlioana kwa mapenzi ya dhati la sivyo sio rahisi kiivyo.
 
Sio kila mtu ni mpenzi wa hizo air freshener. Bora vile vya toilet ambacho chenyewe ni unaning'iniza toilet tu kinavuta harufu... Air freshener za kupuliza wengine wana allergy na manukato.

Ndio hizo zooote zinaitwa air freshener so uchaguzi uko kwako ni ipi tutumia sio lazima ya kupuliza
 
We umeona waaapi...... Eeein..... We uliona wapi?!
IMG_20200912_151457.jpeg
 
Kama unakaa sehem uchwara hapo sawa, wengine vyoo vyetu na mabafu kuna glass doors zimezungushiwa rubber so hata harufu haitoki nje
 
ndio uwe unauliza kabla ya kujenga.siku hiz ku atu fen flan hiv unakjengea kwenye dirisha la choo chaenu kanafyonza hewa kwend nje zipo mpka za elfu 30.kkoo.pia hayo mamb ya kawaida weka vidonge vya haruf usisahau kumwaga maj meng sasa unafikir vyoo vya shimo
 
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....

Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom