Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,173
- 190,748
unga tu maana kuna raia imetoa povu nimeona screenshot kwenye group flani ni hatari.natamani niendeleze
unga tu maana kuna raia imetoa povu nimeona screenshot kwenye group flani ni hatari.natamani niendeleze
Kuachana isiwe kigezo cha kuchafuana kwa maneno ya hovyo maana kuna leo na kesho. Hii tabia ya kuchafuana ni mbaya sana hasa kwa wale ambao wamezaa pamoja, athari yake huwa mbaya zaidi kwa mtoto kama mzazi mmoja atajitahidi kumuaminisha uongo dhidi ya mwenzie.

uwiii aibu naona mimi huku 🤦🏾♀️unga tu maana kuna raia imetoa povu nimeona screenshot kwenye group flani ni hatari.
View attachment 1569784
Mambo ya kishamba sana.uwiii aibu naona mimi huku 🤦🏾♀️
ila huu ni utoto na ulimbukeni tena sio wanawake tu hadi wanaume pia unakuta anakazana mara mtu mwenyewe gogo sijui bwawa aah jamani
Namna ya kukabiliana na hizo changamoto utaijua siku ukioa......Kwa mfano mume na mke mnalala kwenye chumba cha self, choo humo humo ndani, mkeo au mmeo akienda kukata gogo mnavumilia vipi hiyo harufu mbaya? Mwenzi akitoka chooni?
Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?
ila hivi mtu unawezaje kumsema mtu uliyekua unalala nae mnadinyuana hiyo guts ya kusema ni kibamia sijui blah blah hua inatoka wapi mweee![]()
Teh teh! Sijawahi kuwa na tabia mbovu kiasi hicho....
Nishawahi kumtetea Ex kwa rafiki angu aliposema all men's are trash. Nikamwambia yule wangu alikuwa a man and half ni mimi tu ndiyo nilikuwa mchokozi waii niliishia tu kuambiwa sumu ya mapenzi bado haijaniisha kumbe wala ni vile kwenye nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi nk







saluteyaaaniBinadam tumetofautiana sana kuna watu hawana aibu wala huruma hata chembe, haofii chochote kukuvua nguo hadharani akidhani kuwa anajiridhisha au kukukomoa.
mnoooMambo ya kishamba sana.
Mawazo ya kijinga sana haya!!!Kwa mfano mume na mke mnalala kwenye chumba cha self, choo humo humo ndani, mkeo au mmeo akienda kukata gogo mnavumilia vipi hiyo harufu mbaya? Mwenzi akitoka chooni?
Au mnalala kitanda kimoja, mmoja wenu ajambe usiku half uko macho, hio harufu mbaya mnaivumiliaje?
Niko salama kbs mkuu, napita sana huku.. Nasubiri uchaguzi uishe nirudi rasmi.Umepotea sana mkuu. Long time no see...Natumaini kila kitu kiko salama![]()
Sasa ukorofi huo madamSio kila mtu ni mpenzi wa hizo air freshener. Bora vile vya toilet ambacho chenyewe ni unaning'iniza toilet tu kinavuta harufu... Air freshener za kupuliza wengine wana allergy na manukato.
Ni kwel,niliwah kupanga chumba ambacho kpo Karbu na choo Kuna binti mmoja mzuri alkuwa akiingia choon wakat huo naosha vyombo nje ya chumba changu Karbu na choo lakin nilikuwa sihisi harufu yoyote mbaya,ila mim nilikuwa nikiingia ilikuwa n balaa ila ukiwa hunywi maji sana unakunya mav yanayonuka sanaUshuzi wa bae haunuki.
Kama unapuu nnya inanuka sana hapo ni wewe tu na matatizo ya mlo wako usifikiri binadamu wote tuko sawa...
Wanaume wenzangu huwa nawashangaa,akiwa na vipesa vchache atanunua passo,vitz au ist Yale mahummer na mengine yenye gharama anayaacha lakin kwa mwanamke anataka amilik yoyote hajui kuwa wanawake nao n kama magar lipo la vbosile na lipo la mwalimu wa msingiYou said it all, sijui binadamu tunakwama wapi.
Nakazia hapo kwenye assessment ya break ups 😆😆 mfano: Mwanaume kaachwa na Asha kisa Asha alikuwa anapenda pesa na ye anajua fika nimeachwa sababu me mchoyo/ bahili sitoi hela lakini badala abaki single mpaka atakapojirekebisha ye anaenda kwa Maimuna yanamkuta yale yale mwishowe aje kuwapa lawama wanawake kuwa wanapenda pesa kumbe tatizo ni yeye aliingia sehemu asiyoiweza.
Tukija kwa wadada me sisemi 🙌🙌😆😆