njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Baada ya kuona nchi inapiga hatua kwa kasi chini ya Rais mpendwa wa awamu ya sita, madaui wa taifa kupitia vibaraka wao wameibuka kwa kasi sana
Mama hata halali kabisa akiwaza jinsi ya kuwaletea maendeleo hili lilithibitishwa na Gerson Msigwa lakini bado kuna wajinga wanalalamika tu
Tozo zinazotozwa kwa sasa siyo nyingi na manufaa yake yanaonekana, barabara zinajengwa kwa kasi, umeme wa uhakika, maji, huduma za afya zimeboreshwa mno.
Ndege 5 zinakuja za kuboresha ATCL tena zimenunuliwa cash sasa jiulize ni nchi ngapi zina uwezo wa kununua cash hizo ndege ni uzalendo wetu umoja na mshikamano watanzania umefanikisha hilo
Tusiwasikilize mabeberu na vibaraka wao wasiotutakia mema, tumsapoti Rais wetu na jembe lake genius kabisa Field marshall Mwigulu Nchemba ambaye kapaisha sana mapato ya serikali kwa kipindi kifupi ama kwa hakika huyu ndiye Rais ajaye
Tozo wananchi tumeridhia sababu kazi yake tunaiona na tunaamini kwamba pesa haziliwi kwani kuna uwajibikaji mkubwa mno kwenye awamu hii ya sita majizi yote yamekatiwa mirija, nidhamu ya kazi iko juu,morale hata mawazirini wanyeyenyekevu sana kwa raia hawana majibu ya dharau
Tunashauri vyanzo vingine vya TOZO pia viendelee kufatiliwa kwa karibu na kwa kuanzia bando za simu atleast GB 1 iwe 3000 au 4000 itakuwa bado ni himilivu sana na bei nafuu mno kwa viwango vya Afrika.
Mama hata halali kabisa akiwaza jinsi ya kuwaletea maendeleo hili lilithibitishwa na Gerson Msigwa lakini bado kuna wajinga wanalalamika tu
Tozo zinazotozwa kwa sasa siyo nyingi na manufaa yake yanaonekana, barabara zinajengwa kwa kasi, umeme wa uhakika, maji, huduma za afya zimeboreshwa mno.
Ndege 5 zinakuja za kuboresha ATCL tena zimenunuliwa cash sasa jiulize ni nchi ngapi zina uwezo wa kununua cash hizo ndege ni uzalendo wetu umoja na mshikamano watanzania umefanikisha hilo
Tusiwasikilize mabeberu na vibaraka wao wasiotutakia mema, tumsapoti Rais wetu na jembe lake genius kabisa Field marshall Mwigulu Nchemba ambaye kapaisha sana mapato ya serikali kwa kipindi kifupi ama kwa hakika huyu ndiye Rais ajaye
Tozo wananchi tumeridhia sababu kazi yake tunaiona na tunaamini kwamba pesa haziliwi kwani kuna uwajibikaji mkubwa mno kwenye awamu hii ya sita majizi yote yamekatiwa mirija, nidhamu ya kazi iko juu,morale hata mawazirini wanyeyenyekevu sana kwa raia hawana majibu ya dharau
Tunashauri vyanzo vingine vya TOZO pia viendelee kufatiliwa kwa karibu na kwa kuanzia bando za simu atleast GB 1 iwe 3000 au 4000 itakuwa bado ni himilivu sana na bei nafuu mno kwa viwango vya Afrika.