hapo vijana wa kijitonyama hawajamfuata hukohuko, amuulize mzee kambona kwanza.Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.View attachment 484634
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa. View attachment 484635View attachment 484636
Je, hii inaonyesha ishara gan. Ni kwamba Mange anakubalika sana au?
Yan hapo ni shidah mkuu bora ukae kimya maana usije kuta unachanga ukichimbwa na ww ni mdaiwa tena suguu af unasubir umbea wa mange ukusaidieeti watamchangia ndio wema? hovyo kabisa, lipeni kwanza ada zenu za JF
haaahaa ndio inavyokua huwezi kukereka na jambo kama halikugusi moja kwa moja huoni Mkulu anavyochukia mitandao ya kijamii ina maana anapitaga humoHalafu utashangaa unamfollow mweeeh
hilo nadhani liko njiani,yule jamaa ni smart sana na nafkiri ni muda tu yeye na familia yake walikua wanasubiri kukata mbuyu.Awe makini na hao watoto anaweza kuwakosa vilevile ni suala la lawyers wa mme wake kwenda extra mile na kupata info zake kutokea serikali ya Bongo tu.
Hata mimi nitashiriki kwenye hili...Kwan shingap..... Hata mm ntamchangia
Tena nmepanga kuumpa 2ml
MANGE weka acc number nfanye mambo
trueUkiona yule kakutukana basi jua umemwanza au umeingia kwenye 18 zake
Acha uongo sema CHADEMA usichanganye habariWatu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.View attachment 484634
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa. View attachment 484635View attachment 484636
Je, hii inaonyesha ishara gan. Ni kwamba Mange anakubalika sana au?
Jengo lilikuwa lake?Sasa si bora yao inapigwa mnada..... Kamanda wa anga alibomolewa kabisa billicana.....
Huyo basha ni nani vile. Naona anavuta hisia kwelikweli. Acheni kutengeneza picha za udhalilishaji wana JF. Sitaki kuamini kama ni kweliBashite ni chakula live pozi gani hilo la kumapapasa mwanaume mapaja
Soma kwanza dogo!!!Hahaha unapanic ishu ndogo kama hii? Huijui jf kumbe.. Okay ngoja ni Badili Gia angani.. Inawezekana ukawa na hiyo pesa Ila huna akili, unatetea wauza ngada, Kwa taarifa yako awamu ya TANO ni awamu nyingine kabisa hakuna mazoea, hakuna brand, hakuna Jina, hakuna kuangalia Sura.. Pole Sana mwanaume kushikwa akili na mdaku Mange kimambe
OK anadaiwa kodi kiasi gani?anakubalika au ni ulimbukeni tuu wa baadhi ya watu....hivi ni vituo vingapi vya watoto yatima vinahitaji msaada ??
basi tuacha hayo mwenyekiti wenu anayeongoza mapambano nchi kwa upande ule wa magwanda alikua anadaiwa kodi kiasi gani tukashindwa kumchangia hadi vijimtu vije kumchangia huyu bimama??
ohooooooooooooooooo!!!!!Hiyo picha niaje tena wanaume wawili wanakaaje namna hiyo?
Mkuu Una maanisha nini maana hapo pichani yanaonekana yote manjemba.Una uhakika wote wanaume pale?
Jaribu kuwa unatumia maneno yenye busara.Mange Kimambi sasa amekuwa mange kimavi!
Kiswahili ulibashite nini!!!!Jengo lilikuwa lake?
ohooooooooooooooooo!!!!!