Tutanyongwa mpaka tuishe mkisubiri muda.Muda haujatimia
Exactly my point wako wapi? Ali Kibao aliongeza joto Mamaa akaunda tume impelekee majibu na akasema atawasomea report hadharani, mliipata?Wako wapi hawa;? View attachment 3324005
Hahaha mnafanya sisa laini sana nyie. Waarabu wanapaswa waamie mashariki ya afrika watufunze kujipamabania.Father Kitima kakoswakoswaðŸ˜
Nini kifanyike?Matamko hayasaidii ....