Tetesi: Wananchi wa Tabora wakataa kupokea mwenge ulionakshiwa na picha ya Rais Samia

Tetesi: Wananchi wa Tabora wakataa kupokea mwenge ulionakshiwa na picha ya Rais Samia

mkulimamiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
2,254
Reaction score
4,466
Huko Tabora, mkuu wa mkoa acharuka kuwatishia wananchi kuhama kwenye mkoa huo kisa kukataa mwenge ulio na picha ya Rais

Hii inaleta maana gani kwa Wananchi kuanza kukataa jambo la kitaifa, sababu tu linafungamanishwa na siasa za ccm?

Ni kwamba, Rais hakubaliki sasa...! Ama wanataka kuona Mwenge ukijitambulisha wenyewe pasipo picha za awaye yote?

Kwenu wadau
 
Huko Tabora, mkuu wa mkoa acharuka kuwatishia wananchi kuhama kwenye mkoa huo kisa kukataa mwenge ulio na picha ya Rais

Hii inaleta maana gani kwa Wananchi kuanza kukataa jambo linalofumgamanishwa na siasa za ccm?

Ni kwamba, Rais hakubaliki sasa...! Ama wanataka kuona Mwenge ukijitambulisha wenyewe pasipo picha za awaye yote?

Kwenu wadau
Picha wapi
 
Aisee! Kweli huyu mama hana aibu kabisa.
Huko Tabora, mkuu wa mkoa acharuka kuwatishia wananchi kuhama kwenye mkoa huo kisa kukataa mwenge ulio na picha ya Rais

Hii inaleta maana gani kwa Wananchi kuanza kukataa jambo linalofumgamanishwa na siasa za ccm?

Ni kwamba, Rais hakubaliki sasa...! Ama wanataka kuona Mwenge ukijitambulisha wenyewe pasipo picha za awaye yote?

Kwenu wadau
 
Huko Tabora, mkuu wa mkoa acharuka kuwatishia wananchi kuhama kwenye mkoa huo kisa kukataa mwenge ulio na picha ya Rais

Hii inaleta maana gani kwa Wananchi kuanza kukataa jambo linalofumgamanishwa na siasa za ccm?

Ni kwamba, Rais hakubaliki sasa...! Ama wanataka kuona Mwenge ukijitambulisha wenyewe pasipo picha za awaye yote?
Kwenu wadau

Itakuwa Tabora ya nyumbani kwenu!
 
Huyo mama hakubaliki na alichoharibu ni watu kuuwawa sana na kutekwa chini ya utawala wake.
 
Picha ya rais yaashiria nini katika mwenge wa uhuru? Je mwaka gani na rais yupi aliweka picha yake ktk mwenge wa uhuru? Mwenge wa uhuru ni alama ya kipekee ya taifa hili haihtaji picha mtu yeyote.
 
Huko Tabora, mkuu wa mkoa acharuka kuwatishia wananchi kuhama kwenye mkoa huo kisa kukataa mwenge ulio na picha ya Rais

Hii inaleta maana gani kwa Wananchi kuanza kukataa jambo la kitaifa, sababu tu linafungamanishwa na siasa za ccm?

Ni kwamba, Rais hakubaliki sasa...! Ama wanataka kuona Mwenge ukijitambulisha wenyewe pasipo picha za awaye yote?

Kwenu wadau
Bila picha /video hii habari ni fake!
 
Huko Tabora, mkuu wa mkoa acharuka kuwatishia wananchi kuhama kwenye mkoa huo kisa kukataa mwenge ulio na picha ya Rais

Hii inaleta maana gani kwa Wananchi kuanza kukataa jambo la kitaifa, sababu tu linafungamanishwa na siasa za ccm?

Ni kwamba, Rais hakubaliki sasa...! Ama wanataka kuona Mwenge ukijitambulisha wenyewe pasipo picha za awaye yote?

Kwenu wadau
Kumekucha!!
 
Back
Top Bottom