Wananchi wa mbeya walia na SUGU

Wananchi wa mbeya walia na SUGU

Mahali popote ambapo chadema au chama kingine kimepata uongozi; ccm na serikali yake huwa wanafanya hujuma ya maendeleo ili wananchi wachukie vyama hivyo, na hizo ndio intrigues za ccm na Mbeya mjini is no exception!! Hizo nyumba za udongo unazozisema hapo Mbeya mjini zipo toka enzi za ukoloni na kuna nyumba nzuri ambazo wewe hutaki kuzitaja upande wa Forest na Mwakibete!! Tumekuwa na viongozi wa chama tawala toka enzi hizo and there is nothing to write home about na ndio maana wana Mbeya wanataka mabaliko ya kweli na ndio yameanza kwa kuwaondoa wabunge wa magamba nahiyo itawafuata hata nyie huko kwenu Rungwe!!Huko mageuzi yameanzia Kiwira kwa kushinda kiti cha udiwani na wanakuja mpaka Huko Mashariki!!

Thats the problem.
Tukiongea maendeleo nyie mnakazana na rhetorics za politics.
Kama unamkumbuka mzee Mwangoka na matofali ya kupikwa toka baada ya uhuru utaelewa naongea nini.

You guys seem to think CDM itawaletea neema, endeleeni kusubiri wakati Sugu wenu anamaliza bifu lake na mapolisi.
 
Thats the problem.
Tukiongea maendeleo nyie mnakazana na rhetorics za politics.
Kama unamkumbuka mzee Mwangoka na matofali ya kupikwa toka baada ya uhuru utaelewa naongea nini.

You guys seem to think CDM itawaletea neema, endeleeni kusubiri wakati Sugu wenu anamaliza bifu lake na mapolisi.

Chadema inaonesha ishara ya kuwajali watu, na chama chochote cha siasa kinachowajali watu ndio kitakachowaletea maendeleo!! Uongozi chadema haununuliwi kwa pesa kama mnavyofanya nyie huko ccm na ndio maana watu masikini wenye uwezo wanapata uongozi CHADEMA lakini nyie magamba kama huna hela za kuhonga huwezi kuchaguliwa. Waulize wenzio walitumia milioni ngapi kumnunua Shitambala kama njia ya kuua Chadema. Chadema hawawezi kufanya ujinga wa magamba wa kuwaibia wananchi wao; hapo Mbeya tu kuna mifano mingi tu ya ufisadi kikiwemo hicho kiwanja cha ndege ambapo mabilioni ya fedha yametumika lakini yaliishia mifukoni mwa wanasiasa wajanja kwani hadhi ya hicho kiwanja haiendani na fedha za wananchi zinazosemekana zilitolewa na serikali!! Serkaili hii ingekuwa ya Chadema lazima viongozi waliohusika na mradi huo lazima wangewajibika. Wewe na wenzio magamba macho yenu mnaelekeza kwenye UGALI TU!!!
 
Chadema inaonesha ishara ya kuwajali watu, na chama chochote cha siasa kinachowajali watu ndio kitakachowaletea maendeleo!! Uongozi chadema haununuliwi kwa pesa kama mnavyofanya nyie huko ccm na ndio maana watu masikini wenye uwezo wanapata uongozi CHADEMA lakini nyie magamba kama huna hela za kuhonga huwezi kuchaguliwa. Waulize wenzio walitumia milioni ngapi kumnunua Shitambala kama njia ya kuua Chadema. Chadema hawawezi kufanya ujinga wa magamba wa kuwaibia wananchi wao; hapo Mbeya tu kuna mifano mingi tu ya ufisadi kikiwemo hicho kiwanja cha ndege ambapo mabilioni ya fedha yametumika lakini yaliishia mifukoni mwa wanasiasa wajanja kwani hadhi ya hicho kiwanja haiendani na fedha za wananchi zinazosemekana zilitolewa na serikali!! Serkaili hii ingekuwa ya Chadema lazima viongozi waliohusika na mradi huo lazima wangewajibika. Wewe na wenzio magamba macho yenu mnaelekeza kwenye UGALI TU!!!
Kwa vile tumeacha mada tuingie siasa mnazozipenda.
Ati CHADEMA chama cha maendeleo kinachoongozwa na wazinzi.
Ndio umakini wa kuigwa na vijana.
Watu nyie naona mna affiliation na umanamba, mnaibiwa ruzuku kila kukicha na mnachekelea kama mazuzu.
Sijui ofisi ya CHADEMA hapo Mbeya iko uchochoro upi, wakati wenzenu wanatanua na helikopta huko makao makuu yenu kaskazini.

Wengine wamepewa heshima ya kuwa wabunge wa wana Mbeya lakini umanamba unawasumbua na wako radhi kutumikia wabunge wenzao wa kaskazini kama walinzi binafsi.

Watu mnajiita makini wakati hata umakini wenyewe hamuujui, na baada ya kuongozwa na form four failures no wonder hata mawazo yenu ni ya mtu mfu.
 
Ndugai kama makinda hivi hamuoni amanj imeanza kurejea juzi juzi matangazo yalikuwa ni amani tanzania ila mara nyingi pasipokuwa na haki amani hutoweka ifanywe kampeni ya spika na naibu wake kutenda haki wakumbuke binadamu wengi huegemea kwa yule anaeonewa
 
Sugu ni kutaka umaarufu wa kijinga kama ule alokuwa nao MBEYA DAY SECONDARY SCHOOL,
wa @ jumaTatu viboko kwa utoro wa kipumbavu
 
Hakuna kitu kama hicho.....hata kama angeitwa Mbibhi Ndupu bado haibadilishi chochote.Hata yeye alikuwa anatetea mabosi wake.
Kijana wao kapigwa kwasababu alitaka kupigwa,Mimi kama mwana Mbeya ninayo imani na mbunge/Rais wetu wa Mbeya!!!!!
Pipoooooooooooz

ndagha ujhobhile isyo sito kalumbu! yaani huyo mbwiga anadhani kama mtu ni wa home basi ndio alete ufyontolo wake kwa mbunge wetu, hiyo haikubaliki! na wewe masopakyindi u r' next!
 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Mkuu Bulesi

Alutta continua!!!! continua!!!!


😛eace:😛eace:😛eace:

Chadema inaonesha ishara ya kuwajali watu, na chama chochote cha siasa kinachowajali watu ndio kitakachowaletea maendeleo!! Uongozi chadema haununuliwi kwa pesa kama mnavyofanya nyie huko ccm na ndio maana watu masikini wenye uwezo wanapata uongozi CHADEMA lakini nyie magamba kama huna hela za kuhonga huwezi kuchaguliwa. Waulize wenzio walitumia milioni ngapi kumnunua Shitambala kama njia ya kuua Chadema. Chadema hawawezi kufanya ujinga wa magamba wa kuwaibia wananchi wao; hapo Mbeya tu kuna mifano mingi tu ya ufisadi kikiwemo hicho kiwanja cha ndege ambapo mabilioni ya fedha yametumika lakini yaliishia mifukoni mwa wanasiasa wajanja kwani hadhi ya hicho kiwanja haiendani na fedha za wananchi zinazosemekana zilitolewa na serikali!! Serkaili hii ingekuwa ya Chadema lazima viongozi waliohusika na mradi huo lazima wangewajibika. Wewe na wenzio magamba macho yenu mnaelekeza kwenye UGALI TU!!!
 
Last edited by a moderator:
Si mnajua kwny uchaguz wanambeya huwa tunafanya nin ,sasa na 2015 CCM mlete us*nge mtaona
 
Amezaliwa miaka 67 ilopita ni mtoto wa 2 katika familia yetu. Alibahatika kusoma elimu ya watu wazima akiwa na miaka 49. Ni kwamba ikishafika miezi kama hii akili yake huwa haitabiriki kabisa. Jina lake halisi ni MAKOPO lakini yeye mitaani anajiita ZE MARCOPOLO. Jaman kwa niaba ya familia tunaomba msimchukulie vibaya hata njaa kali imechangia ukichanganya na uzee ndo basi tena.

Basi mkuu kutokana na hiyo profile yake nimemsamehe bure
 
ha! hivi kumbe hapa JF tunatakiwa kulipia umemba!!!??? nilidhani malipo ni kwa priviledged titles tu! eti miss strong ni bei gani ya kulipia "umemba"!
Hakuna malipo, hapa JF, lakini nafikiri mmeona message inayosema mkono mtupu haulambwi!
Na ndio tatizo la Watanzania kama ninyi kupenda kutumikiwa free of charge.
Nyie sikafunje inaelekea ni wagumu sana, kupenda vya bure mtauza uhuru wenu!
 
ndigha ujhobhile isyo sito kalumbu! yaani huyo mbwiga anadhani kama mtu ni wa home basi ndio alete ufyontolo wake kwa mbunge wetu, hiyo haikubaliki! na wewe masopakyindi u r' next!
Mwe fikoloboji mulifikafu fijo, kangi mukwenda ni fyana ifi fikiimbamo ni sukulu.....
Ssee...!!
Amukusambula na masendo.
Haya kifaransa hicho jibuni, inabidi skuli ipande!
 
Hakuna malipo, hapa JF, lakini nafikiri mmeons message inayosema mkono mtupu haulabwi!
Na ndio tatizo la Watanzania kama ninyi kupenda kutumikiwa free of charge.
Nyie sikafunje inaelekea ni wagumu sana, kupenda vya bure mtauza uhuru wenu!

ukinisaidia kuiona hiyo massage, basi najitoa JF instantly!
 
Ha ha ha haaa, unatuchekesha tulionuna wewe Suip. Kwani sugu anatumia bangi! ha ha ha, hii kali

Alikiri mwenyewe kwenye kipindi cha Mkasi cha EATV kinachoendeshwa na Salama Jabir
 
Back
Top Bottom