Wananchi wa Bumbuli waanza kumchoka January Makamba

Ushabiki ukizidi tunakuwa kama wehu. Najua hili ni jamvi la Chadema, but irrationality will not save us.

Umesema Bumbuli kuna shida ya maji na barabara mbovu, halafu u blame Mbunge Makamba (Who was just elected last year) and then you go and praise Mzee Shelukindo kuwa ni mpiganaji but he was mbunge for 15 years? How do u explain that kind of intellectual dishonesty?

Huku Tegeta kwetu kuna shida ya maji, as the matter of fact, tunanunua maji kila siku. But It would be stupid to blame that on Halima Mdee, she just started ubunge.

Maybe its not really worthy arguing with this kind of thinking/posting. The motive of mtoa mada ni kupaka matope.

Mtoa hoja anasema mbunge hana mikakati yoyote ya kuleta maendeleo, this is FALSE. Mtoa hoja kaamua kutudanganya, mipango ya kuleta maendeleo ipo hadi kwenye kitabu. Ukiamua kupiga fitina ungesema kwamba mipango ya kuleta maendeleo haitekelezeki, hapo labda tungekuelewa. Ndio maana nikasema hii post imekaa kimajungu.

MIKAKATI = MBINU ZA UTEKELEZAJI WA MIPANGO

MTOA MADA YUPO SAHIHI, HUENDA MIPANGO IPO LAKINI HAKUNA MIKAKATI

Vipi kuhusu kuhamisha ofisi na kuwasiliana na wananchi kwa simu na internet?
 
Ushabiki ukizidi tunakuwa kama wehu. Najua hili ni jamvi la Chadema, but irrationality will not save us.

Umesema Bumbuli kuna shida ya maji na barabara mbovu, halafu u blame Mbunge Makamba (Who was just elected last year) and then you go and praise Mzee Shelukindo kuwa ni mpiganaji but he was mbunge for 15 years? How do u explain that kind of intellectual dishonesty?

Huku Tegeta kwetu kuna shida ya maji, as the matter of fact, tunanunua maji kila siku. But It would be stupid to blame that on Halima Mdee, she just started ubunge.

Maybe its not really worthy arguing with this kind of thinking/posting. The motive of mtoa mada ni kupaka matope.

Mtoa hoja anasema mbunge hana mikakati yoyote ya kuleta maendeleo, this is FALSE. Mtoa hoja kaamua kutudanganya, mipango ya kuleta maendeleo ipo hadi kwenye kitabu. Ukiamua kupiga fitina ungesema kwamba mipango ya kuleta maendeleo haitekelezeki, hapo labda tungekuelewa. Ndio maana nikasema hii post imekaa kimajungu.

Sijaona mtoa mada aliposema kuwa hili ni jamvi la CHADEMA, huenda ingekuwa pointi zaidi ungesema ama kunukuu baadhi ya sehemu za kitabu hicho ambacho nina hakika kwa mgeni kama mtoa mada pamoja na mimi mchangiaji hatunacho, kujibu hoja ni vyema kuliko kusema ni majungu pekee, wanasema biashara asubuhi ndio maana wananchi pamoja na mtoa mada wangetegemea kuona mwawingu kuashiria mvua, badala yake wameona mbunge wao akianza kukaa mbali na sehem ambayo kumfikia kwa wingi ni vigumu kwao. Ningeshauri usimlinganishe january na mzee shelukindo kwa swala la bara bara na maji kwani itakuwa ni kuonesha udhaifu mapema, kama kweli mikakati ipo na wewe unaijua, tupa attachment ya soft copy ya kitabu chako (ambacho mimi sijawai kiona ingawa kipo) hapa ili tukae kimya tusubirie vitendo!
 
MIKAKATI = MBINU ZA UTEKELEZAJI WA MIPANGO

MTOA MADA YUPO SAHIHI, HUENDA MIPANGO IPO LAKINI HAKUNA MIKAKATI

Vipi kuhusu kuhamisha ofisi na kuwasiliana na wananchi kwa simu na internet?

So u think it is a bad idea mbunge kuwa na website au wananchi wake kumtumia SMS bure? U think those are really bad ideas?
 
Sijaona mtoa mada aliposema kuwa hili ni jamvi la CHADEMA, huenda ingekuwa pointi zaidi ungesema ama kunukuu baadhi ya sehemu za kitabu hicho ambacho nina hakika kwa mgeni kama mtoa mada pamoja na mimi mchangiaji hatunacho, kujibu hoja ni vyema kuliko kusema ni majungu pekee, wanasema biashara asubuhi ndio maana wananchi pamoja na mtoa mada wangetegemea kuona mwawingu kuashiria mvua, badala yake wameona mbunge wao akianza kukaa mbali na sehem ambayo kumfikia kwa wingi ni vigumu kwao. Ningeshauri usimlinganishe january na mzee shelukindo kwa swala la bara bara na maji kwani itakuwa ni kuonesha udhaifu mapema, kama kweli mikakati ipo na wewe unaijua, tupa attachment ya soft copy ya kitabu chako (ambacho mimi sijawai kiona ingawa kipo) hapa ili tukae kimya tusubirie vitendo!

January Makamba.com

eBook copy iyo apo. Gonga hiyo link.
 
Chadema tieni nguvu zaidi huko Bumbuli na anzeni kutafuta kijana msomi na makini kwa ajili ya 2015
 
Where is Selemani when you need him?

mkuu ww ni shujaa na mkweli, huyu jamaa washamchoka longtime kwan huyu kijana kwa anakoelekea ni sawa na baba yake tu

Kwani wewe umekisiaje baada ya kuandika haya?

wakome, walikua wanampigia d
ebe wa nini, 'if you dont use your brain you will use your feet' wacha wahifunze kwanza

Nimjuavyo huyu January ataishia kuwashangaa wananchi anaowawakilisha kama alivyojishangaa yeye na wabunge wengine kuingia mjengoni (Bungeni). Yakimkuta yaliyomfika Mmarekani mwenzie Masha ndiyo atapokoma kushangaa.

Mkuu hii msg ungeandika kisambaa halafu tukaisambaze bumbuli... mijitu haitumii akili hata kidogo!!!:smash:

Selemani kuna harufu ya hasira kwenye hili jibu lako, sasa majungu yapo wapi hapo? Mbunge hajawezesha wananchi wake, hawana simu na sehemu kubwa haina umeme wala maji halafu anawaambia wamtumie kero kwa meseji, hiyo njia ya mtandao aliyoweka anajua asimia ngapi kule bumbuli ina uwezo wa kupata mtandao wa intanet? kama unamsaidia kujibu jibu hoja na uoneshe lipi ni jungu sio kuchanganya kiswahili na kingereza, wengine hata hatukuelewi!

View attachment 25449

haters gonna hate

hate-image2.jpg
 
mkuu ww ni shujaa na mkweli, huyu jamaa washamchoka longtime kwan huyu kijana kwa anakoelekea ni sawa na baba yake tu
Miezi mitano tu wamechoka? Nafikiri unawasemea huku ukiwa ni miongoni mwa wale wanaotowa siku tano kutatuliwa matatizo ya uhai wa uhuru wetu.
 
MIKAKATI = MBINU ZA UTEKELEZAJI WA MIPANGO

MTOA MADA YUPO SAHIHI, HUENDA MIPANGO IPO LAKINI HAKUNA MIKAKATI

Vipi kuhusu kuhamisha ofisi na kuwasiliana na wananchi kwa simu na internet?

Angalau kuna aina fulani ya mwelekeo wa kumfikia mbunge wao. Tulizoelea kusikia kuwa mbunge hapatikani kwa muda mrefu akisingizia shughuli Bungeni. Ni jambo la hakika kabisa kuwa mwenye haja na mbunge wake atatafuta njia za kumfikia kwa hiyo njia ya meseji.
Tatizo letu huwa tunakosoa tu hata pasipo na kosa mradi maadam mhusika si mtu wetu.
 
Habari zenu wana J.F

Wiki iliyopita nilikuwa Bumbuli jimboni kwa ndg Makamba, kwa kweli niliyoyakuta huko ni mambo ya ajabu.

Bumbuli ni sehemu ambayo naifahamu vilivyo kutokana na kuishi huko miaka kadhaa wakati nikisomea Medical Assistant pale COTC na Baadae kufanya kazi Bumbuli Hospital.

cha kwanza barabara ya kufika huko ni mbaya huwezi ukaamini, yaani wakati wa mvua huwa gari zinaishia umbali wa kilometa 30, kutoka bumbuli stend katika eneo la Soni.

Pia kuna shida ya maji utadhani ni jangwani, jimbo hili lina mito na chem chem kila kona lakini sasa hivi chem chem zote zimekufa kutokana na ukataji wa miti uliokithiri, na hata mto mkubwa uliopo haujafanyika utaratibu wowote wa kuvuna maji ya kuwasaidia wananchi.

Baada ya kukupa hiyo intro fupi, sasa twende upande wa pili wa niliyoyakuta kuhusu ndugu Januari.

Kwanza kabisa huyu jamaa mara baada ya kupitishwa (HAKUPIGIWA KURA KWA KUWA ALIKUWA PEKE YAKE) kuwa Mbunge, alihamisha ofisi ya mbunge kutoka Bumbuli na Kuipeleka Soni, tafsiri ya wengi hapa ni kwamba amekimbia kukaa na wananchi wake kwani Bumbuli ni katikati ya Mgwashi na Soni tarafa ambazo pia ni sehemu ya Jimbo hili.

ikumbukwe kwamba tangu kuanzishwa kwa jimbo la Bumbuli miaka zaidi ya 15 iliyopita, ofisi ya Mbunge ilikuwa pale pale Bumbuli, lakini ndg Januari alipochukua ubunge akaamua kuihamisha na kuipeleka sehemu ambapo access na wananchi wake ni ndogo sana.

Suala la pili ambalo nimelipata kutoka kwa vijana wengi waliokuwa wakimpigia debe Januari wakati wa kura za maoni, ni kwamba Ndg Januari ameanza kujivuna kupita maelezo, kiasi kwamba wale vijana ambao alikuwa nao bega kwa bega usiku kucha katika kuhakikisha kwamba mzee Shelukindo anang'oka, aliwatupilia mbali.

Katika kulithibitisha hili, Ndg Januari alitembelea vijiji vilivyoko maeneo ya jirani na pale wanapotoka (Mahezangulu), wakati anaondoka, alipopita Bumbuli, alijidai kasinzia kwenye gari ili asiweze kusalimiana na wananchi ambao kipindi cha nyuma alikuwa na mazoea kusalimiana nao.

Zaidi ya hayo jamaa hana mikakati yoyote ya Maendeleo kwa jimbo lake, vijana wengi wameponda utaratibu alioanzisha wa kuwasiliana na wananchi wake kwa namba ya simu hizi za kutuma ujumbe kwenda 15***, pamoja na kuwasiliana nao kwa kupitia website kwa kuwa sehemu kubwa ya wananchi wake ni masikini ambao hawana hata umeme na hata mtandao wa simu kupatikana ni kwa shida.

Pia imedaiwa kwamba ndg Januari amekuwa akitembelea shule zilizopo ndani ndani na kuishia kukagua madaftari ya wanafunzi badala ya kuhakikisha anaanzisha utaratibu wa upatikanaji wa vitabu na walimu.

Pia kubwa lingine ambalo wananchi wamemponda na kuanza kumchoka ni kwamba, baada ya kuapishwa kuwa mbunge, hajawai hata kujitokeza kuwashukuru wananchi wake kwa kuamua kumuunga mkono, jambo hili limewakera vijana na wazee wengi wa jimbo la Bumbuli kiasi cha kusema kama ataendelea hivi hivi asahau kuchaguliwa tena mwaka 2015.

Vijana wengi ambao walimpachika jina la Obama wa Bumbuli, sasa hivi wameanza kumpa majina mengi kama Shalo Baro, Brazamen, Bishoo n.k, kutokana na kitendo chake cha "kuwapotezea" na "kujidai"

KUFUATIA MAMBO HAYA YALIYOJITOKEZA, KUBWA LIKIWA LA KUHAMISHA OFISI, KUWACHUNIA WANANCHI, NA KUTOKWENDA KUTOA SHUKRANI, LIMEIBUKA KUNDI KUBWA LA VIJANA AMBAO WAPO KWENYE MCHAKATO WA KUMWANDIKIA BARUA MWENYEKITI WA CHADEMA MH. MBOWE PAMOJA NA KATIBU MKUU DR. SLAA, ILI WAWAPE SUPPORT YA KUFUNGUA TAWI LA CHADEMA BUMBULI, VIJANA WENGI WALISIKIKA WAKISEMA "TATIZO SIO SHELUKINDO, TATIZO SIO JANUARI, TATIZO NI CCM"

MY TAKE:
INGAWA MIMI SIO MZALIWA WA BUMBULI, LAKINI KWA KUWA BUMBULI NI SEHEMU AMBAPO NIMEISHI NA KUFANYA KAZI, NIMEKERWA NA KITENDO CHA NDUGU JANUARI KUWASUSA WANANCHI WAKE, HUKU AKISIKIKA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA SUALA LA DOWANS NA TANESCO, PAMOJA NA LILE LA KUHAMISHA OFISI ILI ASIWEZE KUSIKILIZA MATATIZO YA WANANCHI WA BUMBULI.

NAWAPA SUPPORT VIJANA WALIOAMUA KUANZISHA MCHAKATO WA KUFUNGUA TAWI LA CHADEMA BUMBULI, KWA KUWA NDUGU JANUARI AMESHAONA YA KWAMBA UWAKILISHI WAKE KWA WANA BUMBULI, HAUNA UPINZANI KWANI HATA KUSIMAMA KWENYE UBUNGE ALIKUWA MGOMBEA PEKEE ALIYEPITA BILA KUPINGWA.
Thanks...

Tukianza hivi humu Jamiiforums basi tutaanzisha zaidi ya thread 200 za wabunge, nina wasiwasi kama hii thread inatofautiana sana na ile ya kashanga inayohusiana na karatu

January took over from shelukindo just three/four months ago!!! its too early

Sipendi anayofanya, kwani he is too much of a mediaphillic, BUT I SEE THIS THREAD NI KAMA ILE YA KARATU

I knwo Bumbuli, nimelala sana pale lile jengo la mjerumani Bumbuli L hospital (now a condemned building) na sioni kama shida zao zimeanza october mwaka jana
 
Ngoja nitofautiane na wengi hapa, hivi kweli miezi minne ni kipimo tosha cha utendaji kwa mbunge? January alipoanza yeye na kamati yake wamejiwekea kipaumbele cha mgao wa umeme na DOWANS (kama kwa maslahi ya taifa au binafsi na ccm mtandao sijui). Sasa muda wa kuleta maendeleo na kuwashukuru wananchi umeisha hadi tumuhukumu sasa? Jamani tumpe nafasi ili tuone kweli kachemsha au maneno ya watu?
 
january makamba hana lolote,hatakuwa na tofauti na babayake. lkn kwa hili la mdororo wa maendeleo cjui bara2,shule jimboni kwake bumbuli ni mapema sana kulizungumzia kijana ndo kwanza kaingia. hata wabunge wa chadema kuna ambao hawajafanya lolote majimboni mwao wala mikutano ya kushukuru.
 
Hamkuweka mgombea 2010 (Slaa ain't no dummy), and I double dare you kuweka mgombea Chadema Bumbuli 2015, u will be obliterated. Thats all I can say.

The rest is nonsense! Hii post imekaa kimajungu.

Waswahili bhaana, u blame Mbunge for actually visiting schools and look at madaftari ya wanafunzi. What is wrong with that? lol. Some majungu are so stupid. Kama unataka kumpiga mtu fitina, find something tangible.

By the way, ungekuwa kada wa CCM, wadau wa Chadema humu ndani wangekwambia UMETUMWA wewe--your 7th post jamvini ni jungu.
Mkuu

HUna haja ya kujibu kwa lugha kama waswahili banaa.. etc. wewe ni mmoja wetu!

Hiyo kwenye red, nadhani it is wrong.... usihukumu wote mazee
 
Inanishangaza sana kwenye hii forum huyu kachukua Madaraka just months ago atawezaje kujenga barabara na kuchimba visima vya Maji?

It is just early to even discuss what he has done to his constituency...

So changing the office; the former Mbunge had the office downtown alikini aliondolewa vibaya; so what? as long as he had good communications he can have his office in London.

Mimi sio CCM but some issues people licked don't bring any development of people of Tanzania; Just hate ...
 
...Siku njema huonekana Alfajiri.
Punguzeni matetezi. Tunataka juhudi za mbunge tuliyemchagua, awe January Makamba ama mwingine yoyote, kusaidia kutatua matatizo ya wapiga kura wake zianze from Day One! Kama miezi MINNE baadaye hakuna chochote tangible ambacho amefanya ni lazima wapiga kura waanze kuweka alama ya kuuliza kichwani.
Haya matetezi ya kudai "miezi minne bado ni mapema sana" ndio ujinga unaotufanya tubaki tulipo na ambao tutauhamishia kwenye "miaka mitano bado ni mapema sana, nipeni miaka mitano mingine nimalizie niliyoanza"! Poor We! Tuamke.
 
Habari zenu wana J.F

Wiki iliyopita nilikuwa Bumbuli jimboni kwa ndg Makamba, kwa kweli niliyoyakuta huko ni mambo ya ajabu.

Bumbuli ni sehemu ambayo naifahamu vilivyo kutokana na kuishi huko miaka kadhaa wakati nikisomea Medical Assistant pale COTC na Baadae kufanya kazi Bumbuli Hospital.

cha kwanza barabara ya kufika huko ni mbaya huwezi ukaamini, yaani wakati wa mvua huwa gari zinaishia umbali wa kilometa 30, kutoka bumbuli stend katika eneo la Soni.

Pia kuna shida ya maji utadhani ni jangwani, jimbo hili lina mito na chem chem kila kona lakini sasa hivi chem chem zote zimekufa kutokana na ukataji wa miti uliokithiri, na hata mto mkubwa uliopo haujafanyika utaratibu wowote wa kuvuna maji ya kuwasaidia wananchi.

Baada ya kukupa hiyo intro fupi, sasa twende upande wa pili wa niliyoyakuta kuhusu ndugu Januari.

Kwanza kabisa huyu jamaa mara baada ya kupitishwa (HAKUPIGIWA KURA KWA KUWA ALIKUWA PEKE YAKE) kuwa Mbunge, alihamisha ofisi ya mbunge kutoka Bumbuli na Kuipeleka Soni, tafsiri ya wengi hapa ni kwamba amekimbia kukaa na wananchi wake kwani Bumbuli ni katikati ya Mgwashi na Soni tarafa ambazo pia ni sehemu ya Jimbo hili.

ikumbukwe kwamba tangu kuanzishwa kwa jimbo la Bumbuli miaka zaidi ya 15 iliyopita, ofisi ya Mbunge ilikuwa pale pale Bumbuli, lakini ndg Januari alipochukua ubunge akaamua kuihamisha na kuipeleka sehemu ambapo access na wananchi wake ni ndogo sana.

Suala la pili ambalo nimelipata kutoka kwa vijana wengi waliokuwa wakimpigia debe Januari wakati wa kura za maoni, ni kwamba Ndg Januari ameanza kujivuna kupita maelezo, kiasi kwamba wale vijana ambao alikuwa nao bega kwa bega usiku kucha katika kuhakikisha kwamba mzee Shelukindo anang'oka, aliwatupilia mbali.

Katika kulithibitisha hili, Ndg Januari alitembelea vijiji vilivyoko maeneo ya jirani na pale wanapotoka (Mahezangulu), wakati anaondoka, alipopita Bumbuli, alijidai kasinzia kwenye gari ili asiweze kusalimiana na wananchi ambao kipindi cha nyuma alikuwa na mazoea kusalimiana nao.

Zaidi ya hayo jamaa hana mikakati yoyote ya Maendeleo kwa jimbo lake, vijana wengi wameponda utaratibu alioanzisha wa kuwasiliana na wananchi wake kwa namba ya simu hizi za kutuma ujumbe kwenda 15***, pamoja na kuwasiliana nao kwa kupitia website kwa kuwa sehemu kubwa ya wananchi wake ni masikini ambao hawana hata umeme na hata mtandao wa simu kupatikana ni kwa shida.

Pia imedaiwa kwamba ndg Januari amekuwa akitembelea shule zilizopo ndani ndani na kuishia kukagua madaftari ya wanafunzi badala ya kuhakikisha anaanzisha utaratibu wa upatikanaji wa vitabu na walimu.

Pia kubwa lingine ambalo wananchi wamemponda na kuanza kumchoka ni kwamba, baada ya kuapishwa kuwa mbunge, hajawai hata kujitokeza kuwashukuru wananchi wake kwa kuamua kumuunga mkono, jambo hili limewakera vijana na wazee wengi wa jimbo la Bumbuli kiasi cha kusema kama ataendelea hivi hivi asahau kuchaguliwa tena mwaka 2015.

Vijana wengi ambao walimpachika jina la Obama wa Bumbuli, sasa hivi wameanza kumpa majina mengi kama Shalo Baro, Brazamen, Bishoo n.k, kutokana na kitendo chake cha "kuwapotezea" na "kujidai"

KUFUATIA MAMBO HAYA YALIYOJITOKEZA, KUBWA LIKIWA LA KUHAMISHA OFISI, KUWACHUNIA WANANCHI, NA KUTOKWENDA KUTOA SHUKRANI, LIMEIBUKA KUNDI KUBWA LA VIJANA AMBAO WAPO KWENYE MCHAKATO WA KUMWANDIKIA BARUA MWENYEKITI WA CHADEMA MH. MBOWE PAMOJA NA KATIBU MKUU DR. SLAA, ILI WAWAPE SUPPORT YA KUFUNGUA TAWI LA CHADEMA BUMBULI, VIJANA WENGI WALISIKIKA WAKISEMA "TATIZO SIO SHELUKINDO, TATIZO SIO JANUARI, TATIZO NI CCM"

MY TAKE:
INGAWA MIMI SIO MZALIWA WA BUMBULI, LAKINI KWA KUWA BUMBULI NI SEHEMU AMBAPO NIMEISHI NA KUFANYA KAZI, NIMEKERWA NA KITENDO CHA NDUGU JANUARI KUWASUSA WANANCHI WAKE, HUKU AKISIKIKA KWENYE VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA SUALA LA DOWANS NA TANESCO, PAMOJA NA LILE LA KUHAMISHA OFISI ILI ASIWEZE KUSIKILIZA MATATIZO YA WANANCHI WA BUMBULI.

NAWAPA SUPPORT VIJANA WALIOAMUA KUANZISHA MCHAKATO WA KUFUNGUA TAWI LA CHADEMA BUMBULI, KWA KUWA NDUGU JANUARI AMESHAONA YA KWAMBA UWAKILISHI WAKE KWA WANA BUMBULI, HAUNA UPINZANI KWANI HATA KUSIMAMA KWENYE UBUNGE ALIKUWA MGOMBEA PEKEE ALIYEPITA BILA KUPINGWA.

Watake wasitake ni Mbunge mpaka 2015 labda afe au apate kichaa.

Bumbuli naijua vizuri sana na watu wa kule nawafahamu vilivyo na misimamo yao. Je unajuwa kwanini walimwacha Shelukindo.

Kuna kazi kubwa pale na hao waliokueleza kuwa wanataka wafungue tawi la Chadema basi wanataka pesa zenu lakini kule hakuna kura ya Chadema.

kama umekaa kweli huko, jaribu kujua tarbia zao kisha lete hoja
 
Back
Top Bottom