Hata mimi nimefurahishwa sana na matendo ya January kama kweli ndio haya, maana hakuna watu wanafiki kama wananchi wa Bumbuli, yaani mzee wa watu kaongoza vita kubwa sana dhihi ya unyonyaji wetu sisi wote, walichofanya ni kumdhalilisha kwa namna ya ajabu leo wanasema nini? kwanza nasikia hao wenyewe huko sio kwao dingi alikuja kutoke iringa kama manamba, sasa leo wanamtakia nini. Heko January mwendo mdundo kama watu wenyewe hawana internet ama skype na hawajanunua ipads sasa wewe ufanye nini? kwanza kitabu chenyewe cha kuwaombea misaada umekiandika kiingereza sasa kama wao wanajua kisambaa tu wewe ufe? halafu watamchaguaje muwakilishi asiyeongea lugha yao? imekula kwao teh teh tehe kweli wajinga ndio waliwaao.. kula kwa kwenda mbele hayo mambo ya 2015 watajiju wakati huo dili lako la Dowans litakua lisha tiki huku wao umaskini ukwaparami mpaka kwenye kope
Daah Mzee hii ni kali,wanaweza kuwa wamekosea lakini daah umewapa makavu sana as if everbody alikuwa anajua yote hayo,wengine hufata mkumbo kaka na wengine sincerely hakuna wanalojua,so jamaa ndo ana-take advantage ya wao kutojua kitu..inasikitisha