LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Baada ya mkurugenzi wa manisipa ya Arusha kutangaza pikipiki kulipa ushuru wa maegesho, madereva wa pikipiki na wamiliki wa pikipiki wameapa kutokulipa na na wameapa kuwashambulia watoza ushuru hao.
Wanasema serikali kuu imewasamehe kodi ya mapato sasa Manispaa wanataka kuwakomoa.
Wanasema kwa kuwa hatuna mbunge ndio wanataka kutukomoa.Pia wapanda pikipiki wamesema wako tayari kuwasaidia.
CCM kwa mtindo huu msitegeme lolote arusha.Mkurugenzi na Thomas munis hawaitakii Arusha mema.
Wanasema serikali kuu imewasamehe kodi ya mapato sasa Manispaa wanataka kuwakomoa.
Wanasema kwa kuwa hatuna mbunge ndio wanataka kutukomoa.Pia wapanda pikipiki wamesema wako tayari kuwasaidia.
CCM kwa mtindo huu msitegeme lolote arusha.Mkurugenzi na Thomas munis hawaitakii Arusha mema.