Wananchi Jimbo la Kisesa waraka jina la Luhaga Mpina lirejeshwe

Wananchi Jimbo la Kisesa waraka jina la Luhaga Mpina lirejeshwe

just_zero

Member
Joined
Jun 3, 2025
Posts
80
Reaction score
167
SIMIYU: Baadhi ya Wananchi wa Jimbo la Kisesa wamekusanyika na kueleza hisia zao wakipinga uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (#CCM) kukata jina la aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Luhaga Mpina katika mchakato wa awali wa uteuzi wa Wagombea.

Wamedai kutoridhishwa na majina yaliyopitishwa na kutoa ombi kwa uongozi wa CCM kurejesha jina la Mpina kwenye orodha ya Wagombea ili waweze kufanya maamuzi yao kwa uhuru, kama sehemu ya haki yao ya msingi ya Uchaguzi.

source: Jamiiforums
 

Attachments

  • VID-20250804-WA0045.mp4
    9.6 MB
Muda woe huo hawakujua kuwa mbunge wao amekatwa?
 
Back
Top Bottom