Kuna wakati inabidi usifie jambo ili yako yaende..nkinukuu nyimbo ya kumsifu Makonda kutoka Mkubwa na wanae"Tumempata kijana mwenzetu mwenyenizamu" nkajiuliza hivi kumchapa Mzee mwenye umri wa baba bado tukuite unanidhamu..kwa hiyo hata wanaomshangilia magufuli wanataka yao yaende tu.