Wanamgambo wa kikristu wauaji

Status
Not open for further replies.
Boko haram wamevamia mji mdogo wa maiduguri na kuuwa watu wapatao arobaini,nchini nigeria.
Boko haram ni kundi la kigaidi linaloendesha mauaji ya raia wasio na hatia ili kuishinikiza serikali ya nigeria kuendesha nchi kwa sharia za kiislam.
 

Mungu apishie mbali tanganyika

mix with yours
 
waasi wa seleka walipo mpindua rais mkristu frans bozize na kumuweka michael jotodya ambaye ni mwislamu aliyejipa jina la kikristu na kuanza kuwauwa wakristu haukuleta habar leo wamegeuziwa kibao unaanza kulia lia humu
 
Tuache waisilamu waadhibiwe kwanza, wakatulie ugenini Chad na Cameroon, wakirudi watakuwa wamejifunza kwamba kumbe sio kila mahali unatakiwa kutekeleza mafundisho ya quran ya kuwauwa wasio wa imani ya kiisilamu
 
kwanza kabisa futa hiyo dhana ya 'wanamgambo wa kikristu' kwani hakuna kitu kama hicho. waislamu ndio wana mgambo wao wanajiita seleka, hawa waliasi toka jeshini (yani walijikusanya wanajeshi waislamu wakasepa). Tunakosea kusema kwamba wanaojihami nao ni mgambo wa kikristo. ukweli ni kuwa sawa ni wakristo lakini hawajajiunga kwa vile ni wakristo, kutimiza malengo ya kikristo la. wamejiunga ili kupambana na hawa magaidi. Hivyo vitu wanavyofanya haviwezi kuwa attributed to christianity, ila ni vita tu. Kauli sahihi ni wanamgambo wa nchi vs magaidi wa kiislamu seleka.
 

Latest from Central African Republic, (CAR).
#Muzzrats attacking Christians
Qu'ran 2:191 killed them wherever you find them!!






Central African Republic: Ethnic cleansing and sectarian killings | Amnesty International
 

Attachments

  • CAR-ethnic cleansing report 12.02.14.jpg
    37.6 KB · Views: 296
Hakuna cha uKristo wala uIslamu...watu wanauana tuu wanasingizia dini. Hata wasingekuwa na dini wangeuana tu kwa ukabila, na wasingekuwa na makabila wangeuana tu sababu nyingine tofauti! Binadamu hakosi sababu ya kumfanyia mwenzie ubaya..
Umesema ukweli kabisa mkuu, binadamu ni wabaya kuliko simba
 
Tuache waisilamu waadhibiwe kwanza, wakatulie ugenini Chad na Cameroon, wakirudi watakuwa wamejifunza kwamba kumbe sio kila mahali unatakiwa kutekeleza mafundisho ya quran ya kuwauwa wasio wa imani ya kiisilamu

Ni ujinga gani huu unaoandika!!Ni Qur'an ipi hiyo inayofundisha kuwaua wasio wa imani ya Kiislam?Tatizo lako na wenzako wavivu wa kutafuta elimu na kuuaoma Uislam mnataka tu kuambiwa kuhusu Uislam,hamtaki kuusoma Uislam na sio kuuaoma tu, bali kuusoma kutoka ktk vyanzo hakika.
Uislamu ASILAN ABADAN HAUFUNDISHI kuwaua wasio na imani ya Kiislam.
Haya ni mafundisho ya sheikh mpotofu Muhammad ibn Abdul Wahhab,muasis wa madh-heb ya Wahabi, huyu ni mwanafunzi wa ibn Taimiya.Mafundisho yao ni kua yeyote anayewapinga,awe muislam au asiye muislam ni wajibu auliwe na mali yake ichukuliwe!!.Ajabu ni kwamba hawa Mawahabi wameundwa na Wazungu-Waingereza kwa kumkutaniaha Sheikh mpotofu Muhammad ibn Abdul Wahhab na mtawala wa Hijaz-Saudi Arabia aliyeitwa ibn Saud,huyu ni babu wa watawala wa Saudi Arabia kwa makubaliano huyu wa dini atoe hukumu za kumlinda huyu wa siasa na vice versa.Historia iko wazi kuhusu masuala haya ila sisi hatutaki kusoma na kujua.
UISLAM NI AMANI HAUNA MAFUNDISHO YA KUWAUA WASIO NA IMANI YA KIISLAM.
TUTOFAUTISHE UWAHHABI NA UISLAM.Mwenyezi Mungu anajua zaidi.
 
Yesu ni Bwana na s.a.w ni mtume wake! oooovaaaaa!
 

hawa wadogo zetu wanasumbua sana,ila baada ya kumponda ndapo hapa tz wamenywea!
 

hii dini hii!! aliyeileta nahisi moto na funza wa jehanamu vinamtafuna kisawasawa!
 
uvumilivu umewashinda.

hata hapa kwetu serikali isipotenda haki kwa kuwashughulikia wachoma makanisa moto , wanaorusha mabomu makanisani, na kuua viongozi wa dini nyingine tutashindwa kuvumilia, itakuwa zaidi ya car
 

Mkuu huyu sheikh anawafuasi wengi sana duniani.
Je huyo ndio aliyeandika huo mstari kwenye kitabu cha quran?
 
mi naona na tanzania tuanze vita tupigane wakristo na waislam atakaeshinda ampishe mwenzie
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…