Wanambeya, mtakuwa wajinga kutomchagua tena Spika Tulia

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,333
24,218
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la MabunGe, IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kwa mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana eti sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
 
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la Mabune IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kw mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana ati sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
Kipenda roho hula nyama mbichi. Maendeleo ni wajibu wa serekali, sio hisani ya kumchagua Tulia. Hayo maendeleo Tulia apeleke nyumbani kwake, hizo siasa za kuchaguliana viongozi, hakuna tofauti na wazazi kumchagulia kijana mwenza hata kama hampendi. Hicho cheo chake hakina impact yoyote kwa wana Mbeya ama hata kwa Tanzania, labda ni sifa kwa walioko madarakani.
 
Kipenda roho hula nyama mbichi. Maendeleo ni wajibu wa serekali, sio hisani ya kumchagua Tulia. Hayo maendeleo Tulia apeleke nyumbani kwake, hizo siasa za kuchaguliana viongozi, hakuna tofauti na wazazi kumchagulia kijana mwenza hata kama hampendi. Hicho cheo chake hakina impact yoyote kwa wana Mbeya ama hata kwa Tanzania, labda ni sifa kwa walioko madarakani.
Utakuwa mwana Mbeya, tunawajua ndivyo mlivyo.
Maendeleo NO, ushirikina ubinafsi, umasikini,mtimanyongo ndo kipaumbele.
 
Watu wa Mbeya na Kagera wangekuwa na akili za maendeleo mikoa yao ndo ingekuwa mikoa inayoongoza kwa maendeleo Tanzania.

Shida kubwa kwao ni wivu na chuki kwa watu wao wenyewe.

Wakigundua mchawi wa maendeleo yao ni wao wenyewe na wakabadilika watafika mbali sana
 
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la Mabune IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kw mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana ati sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
Tulia kwenye mapokezi kutoka kupata cheo alichokipata kwa ihisani ya waarabu na kuhonga mamilioni ya DP world amekiri kuwa aliamua kesi ya kulinda kura za uchaguzi vizuri. Kwamba huyu ndiye aliyeamua polisi wawepo peke yao wakijaza masanduku ya kura na kuwa wapiga kura waende majumbani waachie upenyo wa wizi.

2. Huyu ndiye aliyepelekesha bunge kuridhia mkataba wa kimangungo uliopelekea kuuzwa bandari zetu! Huyu alifuata fungu lake 2.5M USD kupitia Morocco.

3. Huyu aliamrisha wapinzani wapigwe (kulala nao mbele).

4. Huyu yuko nyuma ya kufungwa Mbarikiwa Mwakipesile kwa uongo na kisingizio

WANAMBEYA chonde chonde tuepusheni na hiki kirusi! Dalali wa raslimali zetu
 
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la Mabune IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kw mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana ati sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
Tulia hatumtaki, abakie tu mbunge wa kuteuliwa ili Samia ampe u-Spika. Tulia hana haiba ya watu wa Mbeya na nakuhakikishia hata jimbo la Mbeya Mjini likigawiwa mara 4 hawezi kushinda jimbo lolote.

Isitoshe Tulia aliletwa na Magufuli wala hakuchaguliwa na wana Mbeya Mjini
 
Kwanza kama mwana CCM, kada, nampongeza sana Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kwa kupewa wadhifa wa juu, Bunge la Mabune IPU.

Huo ni wadhifa umeleta sifa si kwa Tanzania tu, bali Afrika kwa ujumla.

Tukirudi bongo, hasa kule kwa wasokile, wasafwa, wanyiha, wapangwa na wakinga, kwenu huo ni mtaji mkubwa.

Tulia aombe kitu gani kw mama Samia halafu Samia amkatalie?

Dkt. Tulia mtaji wa maendeleo.

Lakini Mbeya kuna mijitu ya ajabu.

Kikwete aliwahi sikika akilalamika, eti Halmashsuri na Mkoa hawana ati sehemu ya kujenga Chuo Kikuu cha DSM, tawi la Mbeya!

Tukumbuke Chuo Kikuu cha Mandela kilikuwa kijengwe Mbeya, mji alimoingilia mpigania uhuru Mandela.

Kwa kukosa ushirikiano wenu kikajengwa Arusha.

Mbeya msiwe low achievers!
sidhani kama watafanya makosa hayo, na sidhani kama inawezekana hata kidogo.
Mbeya ni waerevu sana, wanapenda Maendeleo.
Kumchagua Dr. Tulia ni kuchagua Maendeleo.
 
Watu wa Mbeya na Kagera wangekuwa na akili za maendeleo mikoa yao ndo ingekuwa mikoa inayoongoza kwa maendeleo Tanzania.

Shida kubwa kwao ni wivu na chuki kwa watu wao wenyewe.

Wakigundua mchawi wa maendeleo yao ni wao wenyewe na wakabadilika watafika mbali sana
Wewe pimbi Lord denning nenda kaangalie tena takwimu za uchumi za mwaka 2022. Mbeya inapitwa na Dar es Salaam, Kilimanjaro na Iringa tu.

Usifananishe Mbeya na mikoa ya hovyo kama Dodoma, Singida na Tabora. Sisi tuko another level
 
Back
Top Bottom