Wanakosea kuthibiti Ukimwi.

Wanakosea kuthibiti Ukimwi.

uporoto01

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2008
Posts
4,698
Reaction score
1,429
Kwa waliokuwepo mwanzoni mwa mwaka niliweka hapa kichekesho kuhusu 'ripoti ya Mwaka' niliyotumiwa na mfanyakazi mwenzangu wakike mwenye utani sana,sasa kanitumia sms nyingine kuhusu serikali inavyokosea kuthibiti Ukimwi.

'NYEGE' ni mdudu hatari asiyeonekana na kuishi katika mwili wa binadamu (..........)-hapo nimeacha kwa ajili ya maadili,cha ajabu serikali inapigana na Ukimwi na kutumia hela nyingi na watu wanazidi kufa na muda unaenda,hivi kwanini serikali isianzishe kampeni ya kuteketeza mdudu huyu hatari 'NYEGE' anayesababisha yote haya ?

Tafakari na uokoe maisha ya watu.
 
Kwa waliokuwepo mwanzoni mwa mwaka niliweka hapa kichekesho kuhusu 'ripoti ya Mwaka' niliyotumiwa na mfanyakazi mwenzangu wakike mwenye utani sana,sasa kanitumia sms nyingine kuhusu serikali inavyokosea kuthibiti Ukimwi.

'NYEGE' ni mdudu hatari asiyeonekana na kuishi katika mwili wa binadamu (..........)-hapo nimeacha kwa ajili ya maadili,cha ajabu serikali inapigana na Ukimwi na kutumia hela nyingi na watu wanazidi kufa na muda unaenda,hivi kwanini serikali isianzishe kampeni ya kuteketeza mdudu huyu hatari 'NYEGE' anayesababisha yote haya ?

Tafakari na uokoe maisha ya watu.

HAa!? Ina maana hujui kama juhudi za maksudi hufanywa na serikali kwa kuweka kerosene kwenye chakula cha wanafunzi wa bweni na kemikali nyingine huwekwa kwenye chumvi, vyandarua, soda, bia, n.k. Dawa za kuongeza nguvu za kiume ndio maana zimekuwa dili.
 
  • Mimi ndo maana naogopa kutumia vyandarua vyenye dawa, mmmmh inaelekea ndugu yangu Nzowa uko karibu na ukweli kabisa.
 
  • Mimi ndo maana naogopa kutumia vyandarua vyenye dawa, mmmmh inaelekea ndugu yangu Nzowa uko karibu na ukweli kabisa.
Vinapunguza nguvu za kiume,husababisha joto na pia vinakemikali zinazoweza kudhoofisha mwili wa binadamu!! Malaria haikubaliki!!!!
 
  • Mimi ndo maana naogopa kutumia vyandarua vyenye dawa, mmmmh inaelekea ndugu yangu Nzowa uko karibu na ukweli kabisa.

Hamna kitu...midume inamaliza nguvu zote nyumba ndogo/vimada halafu akija home anasingizia chandarua inampunguza nguvu za kiume!
 
iyo kali....lakini huyo mdudu nyege ana faida zake pia mdau, ndo mana leo wewe upo unaishi leo hii!
 
Back
Top Bottom