Kwa waliokuwepo mwanzoni mwa mwaka niliweka hapa kichekesho kuhusu 'ripoti ya Mwaka' niliyotumiwa na mfanyakazi mwenzangu wakike mwenye utani sana,sasa kanitumia sms nyingine kuhusu serikali inavyokosea kuthibiti Ukimwi.
'NYEGE' ni mdudu hatari asiyeonekana na kuishi katika mwili wa binadamu (..........)-hapo nimeacha kwa ajili ya maadili,cha ajabu serikali inapigana na Ukimwi na kutumia hela nyingi na watu wanazidi kufa na muda unaenda,hivi kwanini serikali isianzishe kampeni ya kuteketeza mdudu huyu hatari 'NYEGE' anayesababisha yote haya ?
Tafakari na uokoe maisha ya watu.
'NYEGE' ni mdudu hatari asiyeonekana na kuishi katika mwili wa binadamu (..........)-hapo nimeacha kwa ajili ya maadili,cha ajabu serikali inapigana na Ukimwi na kutumia hela nyingi na watu wanazidi kufa na muda unaenda,hivi kwanini serikali isianzishe kampeni ya kuteketeza mdudu huyu hatari 'NYEGE' anayesababisha yote haya ?
Tafakari na uokoe maisha ya watu.