TajiriMutoto
Member
- Jun 20, 2012
- 87
- 38
haha!...wallet yako halisi imegandana kabisa unajipa presha na hii iliyotuna!...
BTW unapatikana wap?
Ahahaha, nipo Dodoma kwa sasa mkuu. Njoo Rose Garden utanikuta hapa counter na Ndovu nimevaa shati jeupe
carribean unapajua?
mbona hela ndogo hiyo na wewe??je ukishika mil100 kama watoto wa tunduma si utataka tukuabudu
Kama 1.7m mbona kidogo sana hiyo sijuia hata SMILE anaweza kubali kutoka na wewe kwa kiasi kama hicho...SMILE hupo?
hiyo ni Dola elfu moja tu..! UNATUTISHA NA HELA YA MADAFU...! ingekuwa dola ungekuwa na noti moja tu humo!