SHAMAC
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,343
- 3,561
- Thread starter
- #81
Dogo ana dalili zote za mtu anaejiskia sana!sioni nikwanini asiweke wazi ayafanyayo ikiwa anataka usawa wa ushauri!
NO NO NO!!! kaka kama ningekua wakujiskia na kuamini katika kiburi changu ningekuja kwenu kweli watu hata nisiowajua?? Jaribu kurudi nyuma kidogo kaka nimejibu swali lako