SHAMAC
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 1,343
- 3,560
- Thread starter
- #121
Mkuu kwa hapa hakuna neno la kutia kabsa maana ukweli ni kwamba Elimu ya darasani ikizid ni too much utachekewa kufanya makubwa ya ndoto zako.
Ila mlezi wako ni muhimu mno kwenye maisha yako ya sasa na baadae........ Naamini nia yake kwako ni kukuhakikishia usalama wa hali ya juu kwenye ubora wa maendeleo yako hapo baadae.
Anachoamini yeye ni mtazamo wa pande moja hajazingatia kuwa kuna A Born life skills ya mtu binafs....
Chakufanya muwekee mezan your life plan na fanya amazing some thing afunguke akili.
Elimu haichagui umri tell her/him kwamba subiri nifungue kitu flan then nitaendelea na ukitakacho wewe.
Thnkx kaka ,, i appreciate your comment bro,, welcome again and stay blessed..!!!