goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 944
- 1,110
Kwa mbali naona kama hata ww unamatatizo tena makubwa sana,, si kwa uandishi huu
nakukumbusha tu man ... kupata A kwenye mitihani haimaanishi una akili kupita walezi wako... wameona mbali na hicho kiburi unacholeta nakuhakikishia utajuta sana mwishoni... amekukuta huna lolote huna chochote leo unaleta kiburi... kama ni mimi ndo sihangaiki na wewe kabisa uyaone mwenyewe!!!!
Ok, nashkur kwa msaada wako.... Lkn kama umesoma maelezo yangu vizur hapo juu,,, cjawahi kuza kichwa hata cku kwa sbb hiyo...!!! i don't value ma educatn so far, but i value whats growing in ma inside..
"Uwezo wa angalau kujiona naweza, ku imagine my future na kuishape future yangu namna nnavotaka iwe, cku zote ndo imekua motisha ya mimi kujiona NAWEZA... Bila hata kuhusisha hii miscellaneous education tunayoitokea Jasho miaka zaidi 17 hapa TZ.,
Kwa kifupi anataka niishi katika ndotto zake yeye..!! ( not to live in ma dreamz ), And thats one thing i can't allow it to happen NEVER,,!! Even once in a lifetime...!! "Kutoa msaada wa kumlea mtu haimaanishi umemnunua" ndicho nnachoamini..!! sijui kama niko wrong hapo..!! Still atakua independent person in all the means..."
******************************************************************************
Dogo kulingana na hayo nameno kwenye aya hizo hapo juu inaonesha zahiri kuwa unakiburi na majivuno; huu ni upumbavu wa kiwango cha zege.
Hebu tuambie nini hasa unakiweza? kuwaonesha walezi wako kiburi; bila hata aibu unatuambia una zaidi ya mwaka hauongei nao, pumbavu kabisa.
Hapo kwenye red color inaonesha dhahili ni jinsi gani ulivyo na dhalau. Wazazi wako wana hasara sana.
hivi huyo anae kusomesha, hizo pesa kama hana kazi nazo si bora angeziweka kwenye kichuguu zikaliwa na mchwa kuliko kukusomesha !
Bado kuolewa tu sasa
Si mambo mengine yameshakaa sawahahahahahaha, Kivipi?????
Si ndio uje pm tupange tukio zima
Kwahiyo ww hutaki kuja?!Mi Naona Uanze wewe Kwanza ,ili Ulinde HESHIMA YAKO YA KIUMEEE
Si mambo mengine yameshakaa sawa
Duh!nmejaribu tuu kupata picha in general kweli uko katika kipindi kigumu sana!I've been there,ingawa sijajua hasa hizo njia mbili ni zipi maana umeifunga sana hii nashindwa kuelewa kama ni kiupande wa imani(dini),au sijui labda mwenza(mke/mume),au labda professionalism...au sijui nini hata nashindwa kukisia ni upande upi hasa,kama ukiweza japo kuifunua kidogo itasaidia watu kutoa ushauri wao kwa uhakika.
kwani we hutaki Heshima?????Kwahiyo ww hutaki kuja?!
Kwann unaona bado?!...umri hauruhusu au jamaa hajaamuaHmmmm!!!!!! Sidhaniii......Naona Kama Bado
Ndio maana nmefungua mlango uje kwangu unaleta pozii....hivi dunia ya leo wanaume wangapi wanakukaribisha home kiurahisi hivyo?!kwani we hutaki Heshima?????
OK...!! iko hivi,, Anataka niwe msomi kwa kiwango cha juu sana na ndo mana alifanya uwekezaji mkubwa mno kwenye elimu yangu..!!!
Nnavoongea nimemaliza chuo kikuu nikiwa na Bachelor,, Mzozo ulianza punde tu nlipomaliza form 6,, Akanitaka nisome course ambayo kwangu mimi haikua on my interest,, nilikubali ingawa kwa shingo upande na of coz nilimaliza ingawa sikuweza kupeform kwa kiwango cha juu sana kwa sbb frankly speaking haikua moyoni kwangu..!!!
Unaingia Ndaniii,Lol!!!!Kwann unaona bado?!...umri hauruhusu au jamaa hajaamua
Hutak nijue....Unaingia Ndaniii,Lol!!!!
Hahahahahahahahaha, Unataka niambia nimepata bahati ya kukaribishwa kwenye PM yako????Ndio maana nmefungua mlango uje kwangu unaleta pozii....hivi dunia ya leo wanaume wangapi wanakukaribisha home kiurahisi hivyo?!
Heshima mwanamke aje kwa mwanaume
Sana...pm ni mwanzo tu mbonaHahahahahahahahaha, Unataka niambia nimepata bahati ya kukaribishwa kwenye PM yako????
Hutak nijue....