Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,668
Siyo kwa ubaya bali kwa mema tu tupange ratiba ya kuonana hata Mara mbili kwa mwaka. Tunaonana kwa ajili ya kufurahi, kubadilishana mawazo, kubadilisha mazingira, kupeana michongo na vingine vingi visivyo na madhara.
Tusibaguane wala kuweka matabaka Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi. Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.
NAWAPENDA SANA!
Tusibaguane wala kuweka matabaka Mali ni zetu lakini uhai si Mali yetu bas muda huu tupo hai tutengeneze aman na upendo sisi kwa sisi. Tanzania ni yetu bas tusitengane wandugu.
NAWAPENDA SANA!