WanaJF inatakiwa tuonane jamani

WanaJF inatakiwa tuonane jamani

Mleta mada weka age group basi, usije kuonana na sie umri ushaenda sana tukaonekana na watoto wa fom foo!!
20-25,25-35,30-45,35-50,40-60,45-70,50-80 na kuendelea...kuingiliana kupo katika age coz kuna kijana ana mawazo ya kiutuuzima
 
Hili nalo neno unawezakutana na jibibi ambalo halitaki limegoma kutoka kwenye udada!.. unajishangaa stori mnaanza kupiga za kilimo Kwanza..😂
Ha ha haa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom