waziri2020
Senior Member
- May 31, 2019
- 190
- 451
Rais John Magufuli tunakuomba uje Mererani usikilize kilio cha wachimbaji wa madini ya Tanzanite wanavyoteswa na kudhalilishwa na wanajeshi wakati wa upekuzi katika lango la kuingilia.
Wanajeshi hao ambao hivi karibuni wamemuua kwa kumtesa mchimbaji mdogo baada kumkuta na kipande cha Tanzanite mdomoni, wanalalamikiwa kuwadhalilisha wachimbaji kwa kuwafanyia upekuzi sehemu za siri kwa kuwavua nguo zote.
Hali kadhalika wanajeshi hao huwapwkuwa sehemu za siri wakina mama kwa kuwataka wapanue miguu wakiwa uchi wa mnyama jambo ambalo halikubaliki katika tamaduni za Mtanzania.
Ni vema rais Magufuli akafika Mererani ili kusilia kilio cha wachimbaji.
Wanajeshi hao ambao hivi karibuni wamemuua kwa kumtesa mchimbaji mdogo baada kumkuta na kipande cha Tanzanite mdomoni, wanalalamikiwa kuwadhalilisha wachimbaji kwa kuwafanyia upekuzi sehemu za siri kwa kuwavua nguo zote.
Hali kadhalika wanajeshi hao huwapwkuwa sehemu za siri wakina mama kwa kuwataka wapanue miguu wakiwa uchi wa mnyama jambo ambalo halikubaliki katika tamaduni za Mtanzania.
Ni vema rais Magufuli akafika Mererani ili kusilia kilio cha wachimbaji.