macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,830
- 39,672
Pigeni chini huyu Magufuli. Inashangaza mnadhani atawaletea solution wakati ndiyo aliyewatuma. Jihamasisheni mpige kura kwa Lissu na kulinda kura kwa hali zote.Rais John Magufuli tunakuomba uje Mererani usikilize kilio cha wachimbaji wa madini ya Tanzanite wanavyoteswa na kudhalilishwa na wanajeshi wakati wa upekuzi katika lango la kuingilia...