Ilikuwa juzi kwenye heka heka za kusheherekea pasaka mimi na demu wangu.
Maeneo ya barabara ya chuo kikuu (UDSM) inayoelekea changanyikeni nikawa nimepaki gari pembeni kidogo na barabara siku ipaki pembeni kabisa kiukweli kwa namna fulani nikamuacha demu wangu mi nikaingia sehem (hillpark) kununua vocha pamoja kumtumia mtu hela, nilipo maliza nikawa natoka nje nikakuta lile gari kubwa kabisa la jeshi limesimama nyuma ya gari yangu halafu kuna wanajeshi wawili wapo kwenye gari yangu wanaongea na wife wakimuuliza mwenye gari yupo wapi namimi nikawa natokea akasema huyo hapo... mamamamaaaaaaaa............... kabla hawajaniuliza kitu walinipokea kwa makofi na vibao, walinipiga sana kwa kweli, sikuweza kupigana nao hata kidogo kwasababu kuna wengine walikuwa wametulia tu kwenye gari lao. Mke wangu alishuka kuamulia waniache hawakumpiga lakn walimsukuma akadondokea mkono wa kushoka umeteguka.
Namshukuru sana Mungu, akashuka mwanajeshi mwingine sijui ni boss wao akawaambia waniache ndipo wakaondoka.
Mke wangu amewekewa muhogo mkononi huku mimi naugulia tu maumivu, nimeaibika sana mbele ya mke wangu japo naona aibu lakni najifanya uso mkavu kama ndimu.
Wanajeshi wetu wajinga na hawana nidhamu....wanajifanya wababe lakini wakati wa mabomu ya mbagala na g/mboto walikimbia.....hakuna tofauti kabisa na interahamwe na wabakaji wa kawaida....pole ndugu yangu...nafikiri mishahara yao imechelewa sbb ya sikukuu ndio maana walikupiga wapumbavu wakubwa hao.....mungu atawalaani...
Kuna msemo unasema YOU RUB MY SHOULDER I RUB YOURS.ukipaki vibaya ina maana huna ustaarabu wa kiwango cha juu jibu utakalopata ni lile lisilo la listaarabu la kiwango cha juu kama ulichokionyesha ikiwemo kukulamba makofi na mangumi.
Hao wengine unaosema wanapaki vibaya hawapigwi kuna msemo unasema bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi shauri yako.
Ilikuwa juzi kwenye heka heka za kusheherekea pasaka mimi na demu wangu.
Maeneo ya barabara ya chuo kikuu (UDSM) inayoelekea changanyikeni nikawa nimepaki gari pembeni kidogo na barabara siku ipaki pembeni kabisa kiukweli kwa namna fulani nikamuacha demu wangu mi nikaingia sehem (hillpark) kununua vocha pamoja kumtumia mtu hela, nilipo maliza nikawa natoka nje nikakuta lile gari kubwa kabisa la jeshi limesimama nyuma ya gari yangu halafu kuna wanajeshi wawili wapo kwenye gari yangu wanaongea na wife wakimuuliza mwenye gari yupo wapi namimi nikawa natokea akasema huyo hapo... mamamamaaaaaaaa............... kabla hawajaniuliza kitu walinipokea kwa makofi na vibao, walinipiga sana kwa kweli, sikuweza kupigana nao hata kidogo kwasababu kuna wengine walikuwa wametulia tu kwenye gari lao. Mke wangu alishuka kuamulia waniache hawakumpiga lakn walimsukuma akadondokea mkono wa kushoka umeteguka.
Namshukuru sana Mungu, akashuka mwanajeshi mwingine sijui ni boss wao akawaambia waniache ndipo wakaondoka.
Mke wangu amewekewa muhogo mkononi huku mimi naugulia tu maumivu, nimeaibika sana mbele ya mke wangu japo naona aibu lakni najifanya uso mkavu kama ndimu.
Hata kujitutumua basi kurusha ngumi mbili tatu!
Wanajeshi wamezidi ubabe. Wanashindwa kwenda kusaidia waathirika wa mafuriko wanajua kupiga wananchi. Ni kukosa kazi ndo kunawasumbua. Bro ulikuwa na makosa lakini sio sababu ya wao kukupiga. Kila kosa lina adhabu yake, sidhani adhabu ya kuegesha gari vibaya ni kupigwa. Pole Kaka ningekuwa mwanasheria ningekusimamia kesi.
Ningekupeleka kambini ukae masaa sita ungeliheshimu jeshi lako "kukosa kazi '
Wajeda wanakiburi sana hasa wakiwa wamevaa sare zao. Kuna jamaa mmoja (kwasasa ni marehemu) alikuwa anawachapa mbaya! Wajenda walikuwa wanamwogopa sana. Dawa ya hawa wajeda ni kujifunza karate na ngumi. Ukiwa fiti hata wakiwa wa 5 hawakusumbui!!!!!
mdanganye kama ajipendi asubutu.
Ilikuwa juzi kwenye heka heka za
kusheherekea pasaka mimi na demu wangu.
Mke wangu alishuka kuamulia waniache hawakumpiga lakn walimsukuma akadondokea mkono wa kushoka umeteguka.