gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 12,959
- 15,886
Wanajeshi wa IDF wafichua kwamba shambulio la Hamas la oktoba 7 lilikua na mkono wa israel, katika kile kinachodaiwa kuwa ni sababu/fursa tosha ya kuwaondoa wapalestina milele
Unafikiri mbele ya mipango ya wamasiasa raia huwa na thamani?Mpango wa Israel alafu ikateka raia wake kisha wakaenda kuwakabidhi Hamas kwa mazingira gani?
Wakati mwingine shughulisha fuvu lako kidogo
Sina MB,ningeangalia hiyo videoMpango wa Israel alafu ikateka raia wake kisha wakaenda kuwakabidhi Hamas kwa mazingira gani?
Wakati mwingine shughulisha fuvu lako kidogo
Unamaanisha Hamas na Israel wapo pamoja kiasi cha Israel kipanga mpango wa kujivamia, kuua kuteka alafu ikawachukua mateka wake ikawapelekea Hamas wawafiche kisha yenyewe ikaanza kuwashambulia tena marafiki zao Hamas na kuua viongozi wao? Hivi mnafikiria kwa kutumia nini eti?🤣🤣🤣Unafikiri mbele ya mipango ya wamasiasa raia huwa na thamani?
Umeangalia video?!..Unamaanisha Hamas na Israel wapo pamoja kiasi cha Israel kipanga mpango wa kujivamia, kuua kuteka alafu ikawachukua mateka wake ikawapelekea Hamas wawafiche kisha yenyewe ikaanza kuwashambulia tena marafiki zao Hamas na kuua viongozi wao? Hivi mnafikiria kwa kutumia nini eti?🤣🤣🤣
Kwa kutumia milango ya fahamu tu hamna haja ya kuitazama.... Nipo pamoja na Hamas lakini kusema kilichotokea ni mpango wa Israel inachekesha sanaSina MB,ningeangalia hiyo video
Sasa kama ni hivyo mbona ni aibu kwa Hamas kuwasaliti wenzao wanapata shida mpaka sasa. Wale viongozi wa Hamas waliokuwa wanauliwa nao walikua kwenye huo mpango wa IDF?Wanajeshi wa IDF wafichua kwamba shambulio la Hamas la oktoba 7 lilikua na mkono wa israel, katika kile kinachodaiwa kuwa ni sababu/fursa tosha ya kuwaondoa wapalestina milele
Huenda Israel ina mamluki ndani ya Hamas na ndo waliohamsisha hilo tukioUnamaanisha Hamas na Israel wapo pamoja kiasi cha Israel kipanga mpango wa kujivamia, kuua kuteka alafu ikawachukua mateka wake ikawapelekea Hamas wawafiche kisha yenyewe ikaanza kuwashambulia tena marafiki zao Hamas na kuua viongozi wao? Hivi mnafikiria kwa kutumia nini eti?🤣🤣🤣
Siwezi kuangalia sababu kitu ulichowasilisha hakipatani na akili... Mfano nikikwambia nampenda sana zuchu kwa sababu Nancy ana sauti nzuri utanielewa?Umeangalia video?!..
Ungeangalia video Ili ushangae, inasemekana hata waandaji wa lile tamasha waliambiwa walisogeze karibu na 'mpaka' wa Gaza..na hao waliokufa wengi waliuawa na IDF kupitia 'hannibal...'Labda kama wangeua watu 100 ila watu 1200 NI wengi Sana kwa TAIFA kufanya hivo
Propaganda Tu ila video sijaangalia sina time mambo NI MENGI mda mchache
Mada inatokana na videoSiwezi kuangalia sababu kitu ulichowasilisha hakipatani na akili... Mfano nikikwambia nampenda sana zuchu kwa sababu Nancy ana sauti nzuri utanielewa?
Ni set up, israel aliujua mpango kupitia misri(waliwatonya), israel wakaona ni opportunity ya ethnic cleansingKwa kutumia milango ya fahamu tu hamna haja ya kuitazama.... Nipo pamoja na Hamas lakini kusema kilichotokea ni mpango wa Israel inachekesha sana
Video itakua ya kutengeneza au ni moja ya propaganda za kuwachanganya viongozi wapya wa Hamas pamoja na raia wa PalestineMada inatokana na video
Labda iwe walijua kisha wakaacha litokee wapate sababu ya kufanya wanayofanya sasa. Lakini pamoja na hayo faida itakua kwa wapalestina sababu hili limewasogeza karibu na uhuru waoNi set up, israel aliujua mpango kupitia misri(waliwatonya), israel wakaona ni opportunity ya ethnic cleansing