Wanajamvi

Mpenzi Sarafina1

Hii kunitaja mimi wa kwanza kunamaanisha mi ndo kinara? hebu angalia inbox yako, kuna PM nimekutumia. Afu usimwambie mtu.

Karibu, mimi naitwa babu mkaguzi a.k.a Big braza ODM, babu wa wajukuu wa kike. Are you he/she?


mhh watu kwa majidai kha1...karibu sarafina.
 
Habari zenu wanajamvi, ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.

Leo ni mara yangu ya kwanza kujiunga na jamii forums ila nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana na nimejikuta nikivutiwa kujiunga. Navutiwa sana nanyi wote wana jamvi kwani pamoja na mikwaruzano ya hapa na pale, huwa nafurahia mtu anapokuja na tatizo anapewa moyo sana na mwisho anajikuta tatizo lake limeisha na anakua na amani tele.

Shukrani kwa wote ninyi nitakaowasahau naomba mnisamehe ila nawapenda wote:
Aspirin, Rose 1980, Dena Amsi, Lizzy, Uprotocol, Darck City, Klorokwini, Susy, Wiselady, Mwanajamii 1, Bubu ataka kusema, The Finest, Teamo, Tausi mzalendo, woman of substance, pakajimy, Fidel, Acid, Afrodenzi, Preta, kibiritingoma, Askofu, Mzee Mwanakijiji, Kimey, Shantel, Kaizer, LD, Mbu, Mpendwa, Kakakiiza, gaga, St. RR, St. Paka mweusi, Miss Judith, Maria roza, husninyo, Mamushka, Chauro, Nyamayao, Genekai Keren-Happuch, Lily Flower, Chetuntu, Wit, Mwita Maranya, Firstlady 1, na wote niliowasahau nawapenda sana

Karibu sana!
uwe mvumilivu...
 
habari zenu wanajamvi, ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.

Leo ni mara yangu ya kwanza kujiunga na jamii forums ila nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana na nimejikuta nikivutiwa kujiunga. Navutiwa sana nanyi wote wana jamvi kwani pamoja na mikwaruzano ya hapa na pale, huwa nafurahia mtu anapokuja na tatizo anapewa moyo sana na mwisho anajikuta tatizo lake limeisha na anakua na amani tele.

Shukrani kwa wote ninyi nitakaowasahau naomba mnisamehe ila nawapenda wote:
Aspirin, rose 1980, dena amsi, lizzy, uprotocol, darck city, klorokwini, susy, wiselady, mwanajamii 1, bubu ataka kusema, the finest, teamo, tausi mzalendo, woman of substance, pakajimy, fidel, acid, afrodenzi, preta, kibiritingoma, askofu, mzee mwanakijiji, kimey, shantel, kaizer, ld, mbu, mpendwa, kakakiiza, gaga, st. Rr, st. Paka mweusi, miss judith, maria roza, husninyo, mamushka, chauro, nyamayao, genekai keren-happuch, lily flower, chetuntu, wit, mwita maranya, firstlady 1, na wote niliowasahau nawapenda sana
asante kushukuru.
Mimi ni kutoka kwenye kundi la uliowasahau.
 
Habari zenu wanajamvi, ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.

Leo ni mara yangu ya kwanza kujiunga na jamii forums ila nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana na nimejikuta nikivutiwa kujiunga. Navutiwa sana nanyi wote wana jamvi kwani pamoja na mikwaruzano ya hapa na pale, huwa nafurahia mtu anapokuja na tatizo anapewa moyo sana na mwisho anajikuta tatizo lake limeisha na anakua na amani tele.

Shukrani kwa wote ninyi nitakaowasahau naomba mnisamehe ila nawapenda wote:
Aspirin, Rose 1980, Dena Amsi, Lizzy, Uprotocol, Darck City, Klorokwini, Susy, Wiselady, Mwanajamii 1, Bubu ataka kusema, The Finest, Teamo, Tausi mzalendo, woman of substance, pakajimy, Fidel, Acid, Afrodenzi, Preta, kibiritingoma, Askofu, Mzee Mwanakijiji, Kimey, Shantel, Kaizer, LD, Mbu, Mpendwa, Kakakiiza, gaga, St. RR, St. Paka mweusi, Miss Judith, Maria roza, husninyo, Mamushka, Chauro, Nyamayao, Genekai Keren-Happuch, Lily Flower, Chetuntu, Wit, Mwita Maranya, Firstlady 1, na wote niliowasahau nawapenda sana

karib sana. kwa matatizo yoyote ya kifedha usisite kuniona. kwangu hela sio shida, shida ni kutumia.
 
Habari zenu wanajamvi, ni matumaini yangu wote mu wazima wa afya.

Leo ni mara yangu ya kwanza kujiunga na jamii forums ila nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana na nimejikuta nikivutiwa kujiunga. Navutiwa sana nanyi wote wana jamvi kwani pamoja na mikwaruzano ya hapa na pale, huwa nafurahia mtu anapokuja na tatizo anapewa moyo sana na mwisho anajikuta tatizo lake limeisha na anakua na amani tele.

Shukrani kwa wote ninyi nitakaowasahau naomba mnisamehe ila nawapenda wote:
Aspirin, Rose 1980, Dena Amsi, Lizzy, Uprotocol, Darck City, Klorokwini, Susy, Wiselady, Mwanajamii 1, Bubu ataka kusema, The Finest, Teamo, Tausi mzalendo, woman of substance, pakajimy, Fidel, Acid, Afrodenzi, Preta, kibiritingoma, Askofu, Mzee Mwanakijiji, Kimey, Shantel, Kaizer, LD, Mbu, Mpendwa, Kakakiiza, gaga, St. RR, St. Paka mweusi, Miss Judith, Maria roza, husninyo, Mamushka, Chauro, Nyamayao, Genekai Keren-Happuch, Lily Flower, Chetuntu, Wit, Mwita Maranya, Firstlady 1, na wote niliowasahau nawapenda sana

Mimi umenisahau. Ila karibu.
 
Asante babu wa wajukuu wa kike, jinsia yangu nitakutumia kwa pm, nataka uijue wewe tu, katika post zako zote sijawahi kusoma ikanihuzunisha zote huwa lazima nitabasamu nikisoma hata kuwe na kitu kimeniudhi ndio maana umekua wa kwanza kwenye list.
You are welcome darling......nakutahadharisha usisikilize maneno ya mapashkuna na viherehere wa JF. Watakuharibia mpango mzima na babu yako mpenzi.

mpaka sasa una senksi zero wakati babu Asprin ndo anaongoza kwa senksi 8
Wivu siyo dawa.....maisha ya leo ni kufanya kazi, mke na mume ni kusaidiana.

Weeee!Wazuri siku zote ndo tunasahaulika!Ngoja niende zangu!

Sarafina huyo anaejiita babu akikugeuka usinililie!
We nilivokugeuka mbona ulifurahi....utaki na wenzio wamfaidi babu? Uchoyo!

Lizzy Babu Loliondo huyo tunamjua na vikombe vyake hapa JF:lol::lol:
Kimbelembele! Sarafina1 huninyang'anyi, nakuapia.

Hivi huyo babu huwa anageuka watu. Asante lizzy kwa kunitahadharisha mapema mpenzi
Wameshaanza kukuharibu? haukuwa hivi. Sasa huyo Lizzy ndo unamwamini sana? Shauri yako.

Si bora angekua na upako kama wa Loliondo..huyu watu wanakigombania kikombe chake bila kujua kitaleta madhara baadae!
Unoko tuuuu! Utajiju, kifaa ndo kishaingi kwenye hekalu la babu yake. Sarafina hebu nletee ugoro na mkongojo wangu tafazali.......niko huku uvunguni.
 
loh Asprin!! kama bibi alishawahi kuwa msichana si hata babu alishawahi kuwa kijana??

kila jambo lina wakati na majira yake lol!!!
 
loh Asprin!! kama bibi alishawahi kuwa msichana si hata babu alishawahi kuwa kijana??

kila jambo lina wakati na majira yake lol!!!

Acha uchoyo, babu hana madhara....usisahau, mi mtoto wa mwanamke mwenzio, na mtoto wa mwenzio ni mwanao. MPENDE!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom