The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
:lol::lol::lol:We...punguza kasi ina mwenyewe hiyo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:lol::lol::lol:We...punguza kasi ina mwenyewe hiyo!
Asante Dena Amsi wala hujachelewa my dear
Weeee! Wazuri siku zote ndo tunasahaulika! Ngoja niende zangu!
Sarafina huyo anaejiita babu akikugeuka usinililie!
Yaani hiyo avatar mi hoi kabisa
Dahh
sante dear
karibu sana jamvini
ukiletewa shida na mtu nitafute
nikiwa sipo ni pm
piga 0800saa yeyote
mmmhhh
Hiyo namba :lol::lol:Dahh
sante dear
karibu sana jamvini
ukiletewa shida na mtu nitafute
nikiwa sipo ni pm
piga 0800saa yeyote
mmmhhh
haya mwenye avatar huyoooooooo kaja
Hiyo namba :lol::lol:
Kaka naomba urudishe UTAKATIFU wako
Ngoja usubiri uone simu zitakavyopigwa leoMy dear
Hiyo si ndio
Land line ya home
au nime kosea?
Ngoja usubiri uone simu zitakavyopigwa leo
CPU
Mambo vipi dear..
Nway hebu lete hizo ripoti
Za Avatar ofisini tuzikague
Vizuri
sec.30zimebakia
Hahaha lol
:lol: CPUKuna kadogo dogo kapya kamejitokeza kukuibia Avatar unayoimiliki, kanadai eti ka-Avatar kanamuacha hoooooi hajitambui, analegea mwili mzima, miguu, mikono, kiuno, kifua, nyonga mpaka mapengo yake
Kuna kadogo dogo kapya kamejitokeza kukuibia Avatar unayoimiliki, kanadai eti ka-Avatar kanamuacha hoooooi hajitambui, analegea mwili mzima, miguu, mikono, kiuno, kifua, nyonga mpaka mapengo yake
Ngoja tuone maana hawa watoto na wenyeweDaaahh
zikizidi
tutawaambia watoto
wapokee halafu
Waseme mama na baba hawapo
Hahaha lol
Ngoja tuone maana hawa watoto na wenyewe
Aisee hii itakuwa hatari hiyo line ya simu bora tuichomoeHahhaha sisi ndo tumewafundisha
Wasiseme uwongo
Kwa hiyo mtu akipiga watajibu hivi
"MAMA NA BABA WAMELALA CHUMBANI
LAKINI WAMESEMA MTU AKIPIGA SIMU
TUSEME HAWAPO NYUMBANI"
Hahahaa lol
Cheki turakavyoonekana waajabu lol