Unasemaje unataka ulale nje ya nyumba leo, au unataka Kungu Fu Panda nimeishasema huyo Babu hafaiKhaa
babu Asprin
Hana shida yeyote
Kawalea,kawatunza
Kawakagua,kawaponya
sasa mnamgeuka khaaa
kweli hichi ndo kizazi cha dot. Com
hahahahahahahah lol
Khaa
babu Asprin
Hana shida yeyote
Kawalea,kawatunza
Kawakagua,kawaponya
sasa mnamgeuka khaaa
kweli hichi ndo kizazi cha dot. Com
hahahahahahahah lol
haya kaza buti lkn nilikuwa na nia njema tu
mhh watu kwa majidai kha1...karibu sarafina.
Karibu mwali hapa ndio mwisho wa matatizo
You are welcome darling......nakutahadharisha usisikilize maneno ya mapashkuna na viherehere wa JF. Watakuharibia mpango mzima na babu yako mpenzi.
Wivu siyo dawa.....maisha ya leo ni kufanya kazi, mke na mume ni kusaidiana.
We nilivokugeuka mbona ulifurahi....utaki na wenzio wamfaidi babu? Uchoyo!
Kimbelembele! Sarafina1 huninyang'anyi, nakuapia.
Wameshaanza kukuharibu? haukuwa hivi. Sasa huyo Lizzy ndo unamwamini sana? Shauri yako.
Unoko tuuuu! Utajiju, kifaa ndo kishaingi kwenye hekalu la babu yake. Sarafina hebu nletee ugoro na mkongojo wangu tafazali.......niko huku uvunguni.
Asante Michelle, mzima mama?
Unasemaje unataka ulale nje ya nyumba leo, au unataka Kungu Fu Panda nimeishasema huyo Babu hafai
Ngoja nisiseme sasa hivi ngoja ukae humu uzoee halafu utajua kwanini nilikuwa nampinga kwa nguvu wewe hauoni hata Lizzy alivyokuwa anampingaKha! Finest mbona unampinga babu kwa nguvu zote kakusoeani?
Usisikilize ya watu mama, tutatengana.Babu wajukuu wanakuonea wivu!
Huyu Sharobaro Finest asikusumbue mpenzi...we njoo huku ukate kucha za babu kwa meno. Nilioga juzi, usihofuKha! Finest mbona unampinga babu kwa nguvu zote kakusoeani?
Aisee we dogo......kapange viti kule.Ngoja nisiseme sasa hivi ngoja ukae humu uzoee halafu utajua kwanini nilikuwa nampinga kwa nguvu wewe hauoni hata Lizzy alivyokuwa anampinga
Afrooo, hebu soma hii hapa chini kwa sauti:
The Following User Says Thank You to afrodenzi For This Useful Post:
(Babu)Asprin (Today)
Lol!!!! Khaa yaani unataka kujifanya haujui wewe jifanye kujisahaulisha tuKila kukicha
Waniambia huyu
babu hafai hunipi
sababu khaa
Ebu nipe sababu moja
ili niache kumtetea
maana wa jua sintaacha hivi hivi
hahahha lol
Nilikuambia mapema kuwa huyo bwana ni mdanganyifu, hodari sana wa kuoa na kuacha hukutaka kunisikiaSante babu
mie leo nadhani
Talaka iko njiani
Maana huyo mume wangu
Mmmhhh
Hahahahahahahah
Borea hata unanifariji na hizo senks haha lol
Kila kukicha
Waniambia huyu
babu hafai hunipi
sababu khaa
Ebu nipe sababu moja
ili niache kumtetea
maana wa jua sintaacha hivi hivi
hahahha lol
Hivi buti nalo linakazwa?:juggle: