Wahi chooni unywe mkojo wako
hii pia ni dawa? I never new it
Wahi chooni unywe mkojo wako
majanga huyo nyoka katumwa si utani
kwenye ecology kuna kitu kinaitwa habitat, nyoka kwake pori anafuata nini townAcha dhana za kishirikina...
kwenye ecology kuna kitu kinaitwa habitat, nyoka kwake pori anafuata nini town
Duh,hii yako nayo kali mkuu...kweli hao jamaa ni wasamaria wema wa ukweli, big up to them...ungeweza kuwatafuta baadae wawe ndugu kabisahuyo ni mtoto, mother wake atakuwa arround, inatakiwa ufanye fumigation ndani na kwenye mazingira yanayokuzunguka, hufugi kuku na vitu kama hivyo. take care mzee nyoka original hupigi hatua tatu bila kupoteza fahamu. shukuru BWANA Mungu kwani mauti huwa inakuja muda usio dhania kabisa, kule Tabora wanauza mawe fulani ya asili wanayaokota huko milimani. unabandika ilnanata kama sumaku mpaka sumu iishe. vitu kama hivi si dhambi ni pre-emptive measure wakati unawatafuta madaktari, fikiria uko kimbiji halafu ngoma inakufanyizia (kilometa kama 80 hadi kufika dar) siku moja nilitaka kufia huko ila wasamalia wakaniwahisha. wale jamaa walioniokota walikuwa wa ajabu sana. nilipata ajari nikapoteza fahamu pikipiki yangu hoi. jamaa walimnipiga search wakatumia hela zangu kukodi gari mpaka kigamboni. nikapata matibabu ya haraka na kuwahishwa police kuandikiwa PF3 kipindi kile zilikuwa bado zinatakiwa kabla ya tiba. baada ya hapo wakanipeleka agakani kwa hela zangu. walikutana na ambulance wakawaonyesha kadi yangu ya AAR jamaa hawakuelewa mimi nado sina fahamu na kweli kwenye kadi yangu ya afya niko entitled kupata hadi huduma za ambulance ila jamaa walibuni tu ingawa walikataliwa, basi kwa gari ya kukodi wakanipeleka agakani ndo niliko zindukia. nashukuru BWANA Mungu pochi yangu ilikuwa vizuri na hawa jamaa ni wa ajabu sana mi sikutegemea kwenye dunia ya leo kuna watu wa namna hiyo. nilipopata fahamu jamaa wakaniletea breakdown ya hela zangu walizotumia hao wakasepa. walikuwa wawili
jamaa waliniambia niliomba sana maji ya kunywa wakaninyima kumbe ningepewa tu inawezekana ninge -rest in peace
Yaani namimi hapa mguu umevimba vibaya mno hadi naogopa...bora nimefarijika kwamba nawe ulivimba kumbe ni kawaidaMe nling'atwa mwaka jana agost mweeh cji kusahau mguu ulivimba ukawa mweusiii hata nlivopona bado mguu ulikua una sura mbaya pamoja na kubanduka ngoz yaani nlisitisha kuvaa sandals mana m2 akiuona lazima ahoji sema nashukuru mungu umerud katika hali yake ya kawaida sa iv
Duh,hii yako nayo kali mkuu...kweli hao jamaa ni wasamaria wema wa ukweli, big up to them...ungeweza kuwatafuta baadae wawe ndugu kabisa
Yaani namimi hapa mguu umevimba vibaya mno hadi naogopa...bora nimefarijika kwamba nawe ulivimba kumbe ni kawaida